Ukikaa ukafikiria karibia vitu vyote vinavotumika kutangaza neno la mungu vinatengenezwa na watu wasio amini upande wa mungu au wanamwabudu shetani,
Mfano. Magari, vinanda, vipaza sauti,majenereta, magari, kiujumla ni kila kitu mpaka hizo mitambo ya kuchapisha hivo vitabu.