Kwanini tuko obsessed na Escrow report?

Kwanini tuko obsessed na Escrow report?

Tumefanywa tusahau ya pembe za ndovu kwenye ndege ya rais wa China. Nchi ya matokeo
 
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?

Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?

Au ndio double standards?

Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro
kosa moja halihalalishi kosa lingine.
 
Mbunge gani wa UKAWA zaidi ya Kafulila alilivalia njuga? Au unajisahaulisha kuwa kuna mada humu ilikuwa ikihoji kwa nini CHADEMA hawaongelei Escrow? Escrow imebebewa bango na Kafulila, ZITTO na Wabunge wa CCM



Kwani Kafulila sio UKAWA?, JE NASSARI ALIYEOMBA MUONGOZA KWA NDUGAI KWAMBA KWANINI RIPOTI YA ESCROW HAILETWI BUNGENI?
 
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?

Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?

Au ndio double standards?

Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro

Mkuu escrow ndio habari ya mjini, mimi nipo obsessed sababu najua ripoti ndio itakayo kata mzizi wa fitina. Mkuu we angalia hata humu tu JF jinsi viandiko vinavyowaka moto. Once ripoti ikiwa tabled huu uzwazwa utaisha kabisa, hivi viajenda vya kuchafua watu vitakwisha kabisa.
 
Huu ni upepo utapita tuuu

No one will resign

No one will be forced to resign

No one will be made accountable


Kama ilivyokuwa ruchmond...meremeta..jwtz...bot...epa...bandari...bomba la gesi...mabomu mbagala....etc


CCM wanajua kuwa they wilk take care of each other

Wapinzani na wemyewe ni CCM B na wanaishi kqa posho za CCM hivyo ngumu kwao kufanya lolote

Labda wananchi wafanye kama burkina faso na ni jambo gumu hilo haiwezekani
 
Hapa mpaka wakomae wazungu sisi ni watu wa matukio, Kwa mfano mtu mzito ashikwe ugoni kwenye ukumbi wa bunge, au wakulima na wafugaji wapiganishwe au hata mkuu wa mkoa ashikwe kwa mganga wa kienyeji hela ya ESCROW itasahaulika.
 
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?

Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?

Au ndio double standards?

Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro




R U Serious ?? In most developing countries today, corruption is widespread and


part of everyday life. Society has learned to live with it, even considering it,


fatalistically, as an integral part of their culture. Not only are public or


official decisions – for instance, on the award of government contracts or the


amount of tax due – bought and sold, but very often access to a public service


or the exercise of a right, such as obtaining civil documents, also has to be paid for.


Several mechanisms help to spread corruption and make it normal practice in these


countries.


Civil servants who refuse to toe the line are removed from office; similarly,


businessmen who oppose it are penalised vis-à-vis their competitors. Furthermore,


an image of the state has grown up over the years according to which the civil


service, far from being a body that exists to implement the rights of citizens –


rights that mirror their duties – is first and foremost


perceived as the least risky way of getting rich quickly. All of which helps to


make corruption seem normal.
 
Mbunge gani wa UKAWA zaidi ya Kafulila alilivalia njuga? Au unajisahaulisha kuwa kuna mada humu ilikuwa ikihoji kwa nini CHADEMA hawaongelei Escrow? Escrow imebebewa bango na Kafulila, ZITTO na Wabunge wa CCM
Ina maana wakati Joshua Nassari, aliposimama pale bungeni wiki iliyopita kulikomalia suala la Escrow account, wewe ulipigwa upofu wa muda?
 
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?

Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?

Au ndio double standards?

Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro

ni ujinga sana kujadili suala hili na halina mashiko ni kupoteza muda. hapa wanataka kuwaondoa watanzania katika kujadili mambo ya msingi ya maisha yao na kuanza kupakana matope hadi kwa watu wasio husika
 
Back
Top Bottom