Kwanini tuko obsessed na Escrow report?

Kwanini tuko obsessed na Escrow report?

kamatiyafitna

Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
54
Reaction score
9
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?

Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?

Au ndio double standards?

Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro
 
Kwa hiyo unataka watu wakae kimya katika hili la IPTL eti kwa kuwa kuna mengine? Kila jambo na wakati wake na kila mtu ataubeba mzigo wake. Wacha tukomae na hili, kama akitokea Kafulila mwingine atatusaidia kulianzisha lingine!
 
Hivi mnadhani kuwa watu watawajibishwa? Mimi ive given up on political class wa nchi hiii
 
Hivi mnadhani kuwa watu watawajibishwa? Mimi ive given up on political class wa nchi hiii
Dont worry; for every kamatiyafitna that gives up to let things be, ten Mag3s rise up to carry on the fight. It is when the going gets tough that the tough have no choice but to keep going. Hata hivyo asante sana kwa hapo ulipofikia ila ngoja wengine tuzidi kusonga mbele...a luta continua!
 
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?

Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?

Au ndio double standards?

Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro
Kwa hiyo wewe unaridhika vigogo wachache walioko madarakani, kujichotea shilingi bilioni 321?!

Wewe utakuwa hujitambui, kwani hujui kuwa kuna connection, kati ya wewe kulipa bei ya umeme ya 'kuruka' kwa bei ya shilingi 323 kwa uniti na wizi huo?

Kwani hujasikia kuwa kwenye ripoti hiyo imeelezwa kuwa, pesa hiyo iliyoibwa ni ya umma, tofauti na tulivyokuwa tunajulishwa na kina Pinda, Lukuvi, Muhongo na Lukuvi?

Imelezwa pia kuwa hizo bilioni 321, zilizochotwa na hao watu wachache, zilipaswa kurejeshwa TANESCO, kwa kuwa ilikuwa overpayment ya capacity charges.

Kwa hiyo hapo pia hujabaini kuwa huyo singa singa wa IPTL na swaiba wake Rugemalira ( mgawaji pesa kama njugu) kutokana na kuwatoza viwango vya juu vya bei ya umeme TANESCO, ndiko kulikosababisha nasi tutozwe bei ya umeme ya kuruka?

Wewe uliyeleta hii post, unaweza kuwa one of beneficiaries wa kuingiziwa kwenye akaunti yako, yale mabilioni yaliyokuwa yanagawiwa kiholela na Rugemalira.

Kitu kimoja mtambue nyiye vigogo ambao mmezoea kuifanya TZ kuwa shamba la bibi kuwa na sisi watanzania tunawaeleza kuwa, mmetuibia kiasi cha kutosha, mmetutesa kiasi cha kutosha, na unyonge wetu ndiyo uliotufanya nyiye watawala wetu mtuibie mnavyotaka, sasa tushasema IMETOSHA!
 
Hivi mnadhani kuwa watu watawajibishwa? Mimi ive given up on political class wa nchi hiii
Wewe mleta mada, tambua kuwa kama hamtapadishwa kizimbani Kisutu, mwaka 2016, lakini tambua pia kuwa ipo siku mtapelekwa the Hague.
 
Hivi mnadhani kuwa watu watawajibishwa? Mimi ive given up on political class wa nchi hiii
Wewe kama ulikuwa mmoja wa waliochota hayo mabilioni, subiri ukale dona la Segerea.

Si ndiyo nyiye mliapa kuwa ripoti hiyo ya CAG haitatinga bungeni?

Lakini kutokana na kibano cha nchi wafadhili na pressure kubwa kutoka kwa mbunge shujaa wa kipindi hiki Kafulila, pamoja na wabunge wengine wa kundi la ukawa na hata baadhi ya wabunge wa CCM, wenye uzalendo na nchi yao na walioamua kuuvua unafiki uliozoeleka ndani ya chama tawala, ndiyo iliyosababisha, kitu ambacho kilikuwa 'kinapigwa chenga' na watawala wetu kwa ripoti hiyo, kukanyaga kwenye viwanja vya bunge, hatimaye ripoti ya CAG imetinga bungeni na hivyo kufanya the IMPOSSIBLE to become TRUE and POSSIBLE!
 
Mleta mada anawakilisha kundi la watu walioanza kupata hofu baada ya wezi sakata la a/c ya escrow kuanza kujulikana.
 
Kwa hiyo unataka watu wakae kimya katika hili la IPTL eti kwa kuwa kuna mengine? Kila jambo na wakati wake na kila mtu ataubeba mzigo wake. Wacha tukomae na hili, kama akitokea Kafulila mwingine atatusaidia kulianzisha lingine!
Kweli kabis
 
Hayo uliyoyataja uliyajuaje kama hayakuongelewa?
 
Wewe kama ulikuwa mmoja wa waliochota hayo mabilioni, subiri ukale dona la Segerea.

Si ndiyo nyiye mliapa kuwa ripoti hiyo ya CAG haitatinga bungeni?

Lakini kutokana na kibano cha nchi wafadhili na pressure kubwa kutoka kwa mbunge shujaa wa kipindi hiki Kafulila, pamoja na wabunge wengine wa kundi la ukawa na hata baadhi ya wabunge wa CCM, wenye uzalendo na nchi yao na walioamua kuuvua unafiki uliozoeleka ndani ya chama tawala, ndiyo iliyosababisha, kitu ambacho kilikuwa 'kinapigwa chenga' na watawala wetu kwa ripoti hiyo, kukanyaga kwenye viwanja vya bunge, hatimaye ripoti ya CAG imetinga bungeni na hivyo kufanya the IMPOSSIBLE to become TRUE and POSSIBLE!
Mbunge gani wa UKAWA zaidi ya Kafulila alilivalia njuga? Au unajisahaulisha kuwa kuna mada humu ilikuwa ikihoji kwa nini CHADEMA hawaongelei Escrow? Escrow imebebewa bango na Kafulila, ZITTO na Wabunge wa CCM
 
Wewe mleta mada, tambua kuwa kama hamtapadishwa kizimbani Kisutu, mwaka 2016, lakini tambua pia kuwa ipo siku mtapelekwa the Hague.
The hague watakwenda wengi kama ni hivyo wale haichukii CCM, wataangalia wanasiasa wote kwa ujumla, waandishi wa habari n.k
 
Dawa ni kubadili uongozi halafu hawa mafisadi wooooooote tutawaburuza cortin akiwepo baba yao kikwete. Kisha tutawafilisi mali walizonazo... huu ndio muarubaini wao.
 
Kama unajua kesi ya TRILIONI 3 za JWTZ si na wewe uanzishe mapabano au uwasiliane na mbunge anaye kuwakilisha akaanzishe moto Bungeni. ulichosema ni sawa na Mwanamke aliyebakwa na majambazi aone hakuna haja ya kupambanya na mwanafunzi anaembaka kwasababu tu alishawai kubakwa na jambazi.
 
Kwa hiyo unataka watu wakae kimya katika hili la IPTL eti kwa kuwa kuna mengine? Kila jambo na wakati wake na kila mtu ataubeba mzigo wake. Wacha tukomae na hili, kama akitokea Kafulila mwingine atatusaidia kulianzisha lingine!

Wafaidika mtajitambulisha wote, mmojawapo wewe
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom