kamatiyafitna
Member
- Nov 16, 2014
- 54
- 9
Wakati kuna pesa kubwa zaidi zimeibiwa?
Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?
Au ndio double standards?
Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro
Au mshasahau zile TRILIONI 3 za JWTZ? Mbona hakuna anayeuliza au kupiga kelele kuhusu wizi wa SYMBION, BOMBA LA GESI MTWARA, UPANUZI WA BANDARI etc?
Au ndio double standards?
Nchi hii haina collective responsibility na sidhani kama kuna mtu atawajibishwa au atawajibika so lets stop hii charade ya kitoto wakati tunajua mkuu wa nchi hawezi na hananubavu wa kumwadhibisha mtu wakato.kabakisha kiezi 12 aende kupumzika na kufuga ngombe zake kule Yamousskuro