Kwanini TTCL hawabadiliki na Samia yupo kimya??

Kwanini TTCL hawabadiliki na Samia yupo kimya??

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,132
Reaction score
24,438
Hawa jamaa hawabadiliki kabisa, hawana maboresho ya vifurushi kabisa vya intanet kama wanavyofanya wenzao

Wanawauzia wateja GB 2 kwa Tsh 5000 halafu ni shirika la umma, halafu linaongozwa kwa kodi zetu.

Samia yupo kimya, wizara ya mawasiliano kimya, mkurugenzi wa TTCL alipaswa kuwa jela na watendaji wakuu wote.

Wanatumiwa kulihujumu shirika. Imagine wametumia mabilioni kusambaza nyaya za manguzo nchi nzima kipindi cha Magufuli

Halafu sasa hivi wanaleta mzaha, na hapo zilitumika kodi za wananchi, kibaya zaidi wana kila kitu hawa jamaa wana ofisi minara na kila kitu halafu kwa TZ wanapatikana kwa asilimia 90 hadi vijijini lakini hawajipromote wala nini yaani majitu yamekaa tu ofisini.

Kwanini kipindi cha JPM walifanikiwa kuteka soko na kurudi juu na kuanza kukua tena why sio kwa sasa.

Huenda rais ndio analiua hili shirika kwa maksudi kwasababu rafiki yake Rostam anamiliki tigo na Airtel

Hii nchi ina laana.
 
Wewe ukishaona wapi serikali ya Tanzanka ikafanya biashara na wakawa seriously na biashara yao?
Kama shirika la ndege tuu, linajiendesha kwa hasarq miaka kibao.
 
Wakati mwingine stress nyingine tunajitafutia wenyewe, hivi kweli weekend jumapili mchana saa 10 unawaza kero za TTCL!!???, na wakati TIGO,VODA, AIRTEL na HALOTEL wapo!?,. Achana na TTCL fanya mambo mengine.
 
Wakati mwingine stress nyingine tunajitafutia wenyewe, hivi kweli weekend jumapili mchana saa 10 unawaza kero za TTCL!!???, na wakati TIGO,VODA, AIRTEL na HALOTEL wapo!?,. Achana na TTCL fanya mambo mengine.
Stress wakati inaendeshwa na kodi zetu#
 
Wewe ukishaona wapi serikali ya Tanzanka ikafanya biashara na wakawa seriously na biashara yao?
Kama shirika la ndege tuu, linajiendesha kwa hasarq miaka kibao.
Ila kweli
 
Mi niliomba internet fiber wameniwekea waya tu tangu hapo wamepotea kila ukiwauliza wanasema router zimeisha, dah ccm basi tu.
 
Wakati mwingine stress nyingine tunajitafutia wenyewe, hivi kweli weekend jumapili mchana saa 10 unawaza kero za TTCL!!???, na wakati TIGO,VODA, AIRTEL na HALOTEL wapo!?,. Achana na TTCL fanya mambo mengine.
Tusimlaumu. Kuna maeneo mengine ya nchi hii hakuna huduma ya mitandao mingine isipokuwa hao.
 
Mkuu kuwa serious kdg, yaani kabisa unategemea kuona mabadiliko chanya kwwnye shirika lolote la umma chini ya samuya?!
Basi sawa, we endelea kusubiria meli airport!.
 
Ushaona wapi taasisi za serikali zipo serious...

Kwanza ni wala rushwa, kila tender wanataka kuweka % zao...
 
Hawa jamaa hawabadiliki kabisa, hawana maboresho ya vifurushi kabisa vya intanet kama wanavyofanya wenzao

Wanawauzia wateja gb 2 kwa tsh 5000 halafu ni shirika la umma, halaf linaongozwa kwa kodi zetu.

Samia yupo kimya, wizara ya mawasiliano kimya,mkurugenzi wa ttcl alipaswa kuwa jela na watendaji wakuu wote.

Wanatumiwa kulihujumu shirika....Imagine wametumia mabilioni kusambaza nyaya za manguzo nchi nzima kipindi cha magufuli

Halafu sahv wanaleta mzaha, na hapo zilitumika kodi za wananchi, kibaya zaidi wana kila kitu hawa jamaa wana ofisi minara na kila kitu halafu kwa tz wanapatikana kwa asilimia 90 hadi vijijini lakini hawajipromote wala nini yaani majitu yamekaa tu ofisini.

Kwanini kipindi cha jpm walifanikiwa kuteka soko na kurudi juu na kuanza kukua tena why sio kwa sasa.

Huenda rais ndo analiua hili shirika kwa maksudi kwasababu rafiki yake Rostam anamiliki tigo na Airtel

Hii nchi ina laana.
Mitandao yote inauza vifurushi hivyo, Chukua bei ya kifurushi gawanya kwa mbili punguza kidogo ongeza mb kwa mbele, TTCL Wana matatizo Yao Ila sio bei ya vifurushi.
 
wanachekesha sana kwani wanatumia nguvu nyingi kufanya promotion za fiber internet ila ukiomba kuunganishiwa kuipata ni kazi na wako chini ya waziri mzanzibar ambaye hataki watanganyika wapate kitu kizuri
 
Hawa jamaa hawabadiliki kabisa, hawana maboresho ya vifurushi kabisa vya intanet kama wanavyofanya wenzao

Wanawauzia wateja gb 2 kwa tsh 5000 halafu ni shirika la umma, halaf linaongozwa kwa kodi zetu.

Samia yupo kimya, wizara ya mawasiliano kimya,mkurugenzi wa ttcl alipaswa kuwa jela na watendaji wakuu wote.

Wanatumiwa kulihujumu shirika....Imagine wametumia mabilioni kusambaza nyaya za manguzo nchi nzima kipindi cha magufuli

Halafu sahv wanaleta mzaha, na hapo zilitumika kodi za wananchi, kibaya zaidi wana kila kitu hawa jamaa wana ofisi minara na kila kitu halafu kwa tz wanapatikana kwa asilimia 90 hadi vijijini lakini hawajipromote wala nini yaani majitu yamekaa tu ofisini.

Kwanini kipindi cha jpm walifanikiwa kuteka soko na kurudi juu na kuanza kukua tena why sio kwa sasa.

Huenda rais ndo analiua hili shirika kwa maksudi kwasababu rafiki yake Rostam anamiliki tigo na Airtel

Hii nchi ina laana.
Hilo shirika linatakiwa liboronge ili lipewe waarabu kipindi cha Magu lilikuwa vizuri
na halitakiwi kushindana na makampuni yao Voda, Airtel, tigo na halotel
 
Hilo shirika linatakiwa liboronge ili lipewe waarabu kipindi cha Magu lilikuwa vizuri
na halitakiwi kushindana na makampuni yao Voda, Airtel, tigo na halotel
Rostam atapewa
 
Hilo shirika linatakiwa liboronge ili lipewe waarabu kipindi cha Magu lilikuwa vizuri
na halitakiwi kushindana na makampuni yao Voda, Airtel, tigo na halotel
Rostam analitaka
 
Hawa jamaa hawabadiliki kabisa, hawana maboresho ya vifurushi kabisa vya intanet kama wanavyofanya wenzao

Wanawauzia wateja gb 2 kwa tsh 5000 halafu ni shirika la umma, halaf linaongozwa kwa kodi zetu.

Samia yupo kimya, wizara ya mawasiliano kimya,mkurugenzi wa ttcl alipaswa kuwa jela na watendaji wakuu wote.

Wanatumiwa kulihujumu shirika....Imagine wametumia mabilioni kusambaza nyaya za manguzo nchi nzima kipindi cha magufuli

Halafu sahv wanaleta mzaha, na hapo zilitumika kodi za wananchi, kibaya zaidi wana kila kitu hawa jamaa wana ofisi minara na kila kitu halafu kwa tz wanapatikana kwa asilimia 90 hadi vijijini lakini hawajipromote wala nini yaani majitu yamekaa tu ofisini.

Kwanini kipindi cha jpm walifanikiwa kuteka soko na kurudi juu na kuanza kukua tena why sio kwa sasa.

Huenda rais ndo analiua hili shirika kwa maksudi kwasababu rafiki yake Rostam anamiliki tigo na Airtel

Hii nchi ina laana.
Very soon watampa Rostam Aziz
 
Huenda rais ndo analiua hili shirika kwa maksudi kwasababu rafiki yake Rostam anamiliki tigo na Airtel
Hahaha niliwahi kuuliza hili swali mimi pia, halafu swali km hili aliwahi kupigwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC kuhusu TBC yaan ulivyoulizwa wewe na yeye akaulizwa hivyo hivyo kuhusu TBC kwamba haipigi hatua kubwa sana km vituo vingine vya utangazaji vya watu binafsi, sasa hapa yeye alielezea na kugusia vitu km vitatu hivi kitu cha kwanza aliongelea suala mishahara ya wafanyakazi, kingine akaongelea utaratibu wa serikali sio km utaratibu wa watu binafsi kingine akasema kwamba wao wanaweza wakamuona mtu mzuri mwenye uwezo mzuri sana na anafaa kuingia kwenye kituo chao cha utangazaji na kufanya nae kazi ila dau likawashinda akachukuliwa na vituo vingine, sasa jibu la TTCL ni km ilivyojieleza hapo kwamba kumejaa watu wenye uelewa mdogo sio watu weenye uelewa mkubwa kungekua kumejaa watu wenye uelewa mkubwa TTCL isingekua hivyo unavyoiona
 
Back
Top Bottom