Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,186
- 79,386
Naomba kuuliza, Tanzania Revenue Authority ikiwa kama chombo mhimili wa serikali katika kukusanya mapato ya nchi hii ni kwanini hawana ofisi za maana yaani jengo lenye kuendana na hadhi yao?
bwana bwana tuwe wakweli hadhi ya majengo yote ya TRA hayaridhishi! hayako sophisticated enough ukizingatia umuhimu wa ofisi hii! yaani hayazingatii concept ya e-governance nathani unanielewa ninachomaanisha hapa..na hata design ya majengo yenyewe iko awfulMkuu, unataka jengo gani! Mbona wana majengo mazuri tu Makao makuu pale Sokoine drive, kuna majengo mawili.
Pale Samora wana jengo moja zuri, Lumumba pale mnazi mmoja wana ofisi nzuri tu.
Mimi nadhani jengo sio utendaji wa kazi, unaweza kuwa na jengo kubwa lakini hamna kitu.
Mfano jengo letu la Bunge Dodoma ni zuri tena la kisasa kabisa lakini kuna nini cha maana, halafu angalia jengo la Bunge la Ungereza ni dugo sana, Wabunge wanakaa kwa kubanana lakini angalia kazi zao na sisi Tanzania wabunge kazi kusinzia tu
bwana bwana tuwe wakweli hadhi ya majengo yote ya TRA hayaridhishi! hayako sophisticated enough ukizingatia umuhimu wa ofisi hii! yaani hayazingatii concept ya e-governance nathani unanielewa ninachomaanisha hapa..na hata design ya majengo yenyewe iko awful