Kwanini Tesha kakubali kugezwa Katuni wa Mwigulu?

kama ilivyo kwa video bwana Tesha Anaendelea kueleza musaa Tesha jinsi alivyomwagiwa tindikali na kijana anayeitwa Rajabu akiwa na chuki.dhidi yake eti kosa kuwa ccm na akamwambia kwamba CCM tutawamaliza,

WITO ni kwa vyombo vya usalama kufuatulia janga ili na waliohusika wote kuadhibiwa




Mwendelezo


Machadema ni magaidi
 
Tatizo kubwa lililopo hapo huyo Tesha ameshindwa kabisa kugundua kuwa waliomfanya hivyo ni CCM wenzake na inawezekana jambo hilo lilifanywa kwa makusudi kabisa ili CCM wapate huruma ya wananchi na ndio maana CCM wamemtumia katika kampeni nyingi sana hapa nchini wakimtumia kama Bango la kuonyesha eti uharifu wa CHADEMA. Hivi tujiulize kama kweli hao CCM huko alipo na anaowashabikia wangekuwa na mapenzi ya dhati kwake leo hii sura yake ingekuwa hivyo? kwa nini hawakumpeleka nje ya nchi kufanyiwa Plastic Surgery hili angalau kuirekebisha hiyo sura yake? Zaidi wamemtumia kama sehemu ya kampeni zao huku akiendelea kudhalilika kwa matukio hayo.





Unataka kutuambia kwamba wale watu wa chadema wanaopigwa kumbe huwa mnawapiga ninyi wenyewe ili mpate huruma ya kura?ok basi tumewaelewa
 
Kazi ya Savimbi hiyo ili kuichafua Chadema. Kama ana uhakika anasubiri asiende mahakamani? Hivi ukiitaja ccm au Chadema ni nani umemlenga? Hii kutaja kwa ujumla ni propaganda za kisias, kwanini asiwe specific?
 
Chadema tunawaambia hivi kuwa tumejiandaa na uchaguzi ujao tutawanyoosha na kuwagalagaza kabisa,tutawaangushia mlima na yote tutayafanya ndani ya Ballot Box.
 
Unataka kutuambia kwamba wale watu wa chadema wanaopigwa kumbe huwa mnawapiga ninyi wenyewe ili mpate huruma ya kura?ok basi tumewaelewa
Haujaelewa nini namaanisha kwa nilichokiandika, Mbona haujahoji juu ya tukio la Lisu na jinsi CHADEMA walivyokuwa mstari wa mbele kuhakikisha anapona? Je CCM ilifanya nini cha maana kuhakikisha Musa sura yake inakuwa ya afadhari kuliko ilivyo?
 
kama ilivyo kwa video bwana Tesha Anaendelea kueleza musaa Tesha jinsi alivyomwagiwa tindikali na kijana anayeitwa Rajabu akiwa na chuki.dhidi yake eti kosa kuwa ccm na akamwambia kwamba CCM tutawamaliza,

WITO ni kwa vyombo vya usalama kufuatulia janga ili na waliohusika wote kuadhibiwa




Mwendelezo


So hoja ni kuprove kuwa rajabu alitumwa na cdm?, au ni utashi Wa Rajab?. Hapo ndio tutapima weledi Wa vyombo vyetu, tena I we kesi ya public
 
kama ilivyo kwa video bwana Tesha Anaendelea kueleza musaa Tesha jinsi alivyomwagiwa tindikali na kijana anayeitwa Rajabu akiwa na chuki.dhidi yake eti kosa kuwa ccm na akamwambia kwamba CCM tutawamaliza,

WITO ni kwa vyombo vya usalama kufuatulia janga ili na waliohusika wote kuadhibiwa




Mwendelezo


So hoja ni kuprove kuwa rajabu alitumwa na cdm?, au ni utashi Wa Rajab?. Hapo ndio tutapima weledi Wa vyombo vyetu, tena I we kesi ya public
 
Ndiyo anashitaki leo au? Pole sana lakini uharamia wa aina hii siyo mzuri hata kidogo
 
mbona hakuna mchaga fala huyo tesha boya sana yaani anaacha kwenda sehemu husika anaanza kwenda YouTube! au ndo akili za mwenyekiti zinampelekesha
 
Kwanini asiripoti kwenye vyombo husika ? YouTube itamsaidia nini !!
Hehe..kweli humu huwa tunapigizana kelele na watoto, kama hata hili hulielewi basi uko na matatizo, kumbe ndo maana mwamkumbuka JK sababu alikuwa akiyafunika maovu yenu, hakuna jinai kipindi kile ilokuwa inawazoa viongozi wa upinzani kama hii kesi, nadhani ndo sababu ya Heche kuanza kujilizaliza mitandaoni, jinai haina muda, inafufuka na kwa kuwa wanahitaji kujua nini maana ya haki na wanataka kuona wakitendewa haki basi watoa haki na wawapatie haki yao.
 
Back
Top Bottom