saronga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 909
- 218
Ukiendekeza njaa unaweza kukubali lolote hata kama linavua utu wako. Hujaona wale vijana wawili masalia wanavyojifedhehesha majukwaani kwa ajili ya mkate? Tena yule wa kike nasikia wanapasiana kama kiburudisho na yeye haoni taabu kugawa.
Haah! July Shonza!!!?