Kwanini Tesha kakubali kugezwa Katuni wa Mwigulu?

Utaahira mwisho geti la Lumumba.

Tangu Mwigulu aanze kukitembeza hicho kinyago chake hadi leo ni waziri wa mambo ya ndani anashindwa nini kuwakamata hao wahuni, msitufanye wote mataahira kama nyie.
Na hii ndiyo kosa la Polisi DCI pamoja na Mwigulu Nchemba mwenyewe ndiyo maana chadema wanajidai lakini iko siku inakuja
 
Utaahira mwisho geti la Lumumba.

Tangu Mwigulu aanze kukitembeza hicho kinyago chake hadi leo ni waziri wa mambo ya ndani anashindwa nini kuwakamata hao wahuni, msitufanye wote mataahira kama nyie.
eti kinyago
 
Kila kona ambapo Mwigulu amekiwa akienda huyu kijana wa Igunga aliyemwagiwa tindikali yupo nae..Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini anamtumia huyu jamaa, mbona zamani hatukuwahi kumsikia mpaka baada ya kumwagiwa tindikali? Ana uhakika gani kuwa ni Chadema ndio walimwagia hiyo tindikali? Mbona kuna watu kibao tu wana matatizo zaid ya jamaa na hatuhawahi kusikia wakitembezwa nao majukwaani..?
Tatizo la huyu jamaa haelewi kuwa anatumiwa tu, na ipo siku tu umuhimu wake utaisha na atatupwa jalalani..Ambacho kinazunguka katika kichwa changu ni kuwa Mwigulu anacheza mchezo mchafu sana hapa na ni kama ndio kaishika sasa hv magamba..
Picha lipo hivi, Mwigulu alitafuta vijana wa kumfanyia umafia jamaa, kwa kumwagia tindikali alaf ionekane ni Chadema..Alafu baadae hao hao Magamba wakakubaliana na jamaa watampeleka nje kupata matibabu lakini akirudi atazungushwa kusema kuwa chadema ndio walimfanyia hivyo..Maana jamaa alikuwa hana msaada wowote ilibidi akubaliane nao, na ndicho anafanya sasa..
Huyu Mwigulu ni mtu hatari sana, na ipo siku yake itafika, anadhani Mungu hamuoni anayoyafanya...
Nataka nikuhakikishie kesi ya Jinai haina mwisho na wale wote waliyomdhuru Mussa Tesha iko siku watanyongwa tu kama siyo na mahakama basi kwa mikono ya wanaochukia unyama Kama huu. Hiyo nawahakikishia kwakuwa wameshajulikana kwa majina siku zao zinahesabika. Unyama unalipwa kwa unyama period
 
Nataka nikuhakikishie kesi ya Jinai haina mwisho na wale wote waliyomdhuru Mussa Tesha iko siku watanyongwa tu kama siyo na mahakama basi kwa mikono ya wanaochukia unyama Kama huu. Hiyo nawahakikishia kwakuwa wameshajulikana kwa majina siku zao zinahesabika. Unyama unalipwa kwa unyama period
Kama una ufahamu huo that's good, basi elewa na wanaowafanyia unyama watu wasio na hatia kina Ben Saanane kuna siku watalipwa kulingana na unyama wao wanajulikana and they are still very young, refer Charles Taylor na Savimbi.
 
wow-jpg.719842

Kaaazi kweli kweli...!​

 
kama ilivyo kwa video bwana Tesha Anaendelea kueleza musaa Tesha jinsi alivyomwagiwa tindikali na kijana anayeitwa Rajabu akiwa na chuki.dhidi yake eti kosa kuwa ccm na akamwambia kwamba CCM tutawamaliza,

WITO ni kwa vyombo vya usalama kufuatulia janga ili na waliohusika wote kuadhibiwa




Mwendelezo

 
Ni kama una jichimbia Kaburi mwenyewe ,haujui Umuhimu wa Upinzani ktk Nchi na hata ktk Maisha yako ya kawaida ndio sababu una hangaika kutwa kuchwa kuhakikisha Upinzani unakufa Nchi hii. .
 
Hizi taarifa kutoka upande huu Huwa Policcm wanazifanyia kazi kwa kasi ya ajabu sana. utasikia siku si nyingi vijana/viongozi wa CHADEMA watakavyosakwa kila kona.
 
kama ilivyo kwa video bwana Tesha Anaendelea kueleza musaa Tesha jinsi alivyomwagiwa tindikali na kijana anayeitwa Rajabu akiwa na chuki.dhidi yake eti kosa kuwa ccm na akamwambia kwamba CCM tutawamaliza,

WITO ni kwa vyombo vya usalama kufuatulia janga ili na waliohusika wote kuadhibiwa




Mwendelezo


Tatizo kubwa lililopo hapo huyo Tesha ameshindwa kabisa kugundua kuwa waliomfanya hivyo ni CCM wenzake na inawezekana jambo hilo lilifanywa kwa makusudi kabisa ili CCM wapate huruma ya wananchi na ndio maana CCM wamemtumia katika kampeni nyingi sana hapa nchini wakimtumia kama Bango la kuonyesha eti uharifu wa CHADEMA. Hivi tujiulize kama kweli hao CCM huko alipo na anaowashabikia wangekuwa na mapenzi ya dhati kwake leo hii sura yake ingekuwa hivyo? kwa nini hawakumpeleka nje ya nchi kufanyiwa Plastic Surgery hili angalau kuirekebisha hiyo sura yake? Zaidi wamemtumia kama sehemu ya kampeni zao huku akiendelea kudhalilika kwa matukio hayo.
 
Huyo ndio alitembezwa nchi nzima kwenye majukwaa ya kisiasa na lile jamaa katili lililokuwa likiratibu mashambulio na hata mauaji ya wapinzani, na kwa jinsi huyo tesha alivyo mjinga alikubali kutumika kama ndomu mwisho walipomaliza kumtumia walimdampo kama kawaida yao, naona baada ya kutumika hakupata kitu
 
Tatizo kubwa lililopo hapo huyo Tesha ameshindwa kabisa kugundua kuwa waliomfanya hivyo ni CCM wenzake na inawezekana jambo hilo lilifanywa kwa makusudi kabisa ili CCM wapate huruma ya wananchi na ndio maana CCM wamemtumia katika kampeni nyingi sana hapa nchini wakimtumia kama Bango la kuonyesha eti uharifu wa CHADEMA. Hivi tujiulize kama kweli hao CCM huko alipo na anaowashabikia wangekuwa na mapenzi ya dhati kwake leo hii sura yake ingekuwa hivyo? kwa nini hawakumpeleka nje ya nchi kufanyiwa Plastic Surgery hili angalau kuirekebisha hiyo sura yake? Zaidi wamemtumia kama sehemu ya kampeni zao huku akiendelea kudhalilika kwa matukio hayo.
Amepelekwa india
 
Back
Top Bottom