Kwanini Tesha kakubali kugezwa Katuni wa Mwigulu?

Kila kona ambapo Mwigulu amekiwa akienda huyu kijana wa Igunga aliyemwagiwa tindikali yupo nae..Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini anamtumia huyu jamaa, mbona zamani hatukuwahi kumsikia mpaka baada ya kumwagiwa tindikali? Ana uhakika gani kuwa ni Chadema ndio walimwagia hiyo tindikali? Mbona kuna watu kibao tu wana matatizo zaid ya jamaa na hatuhawahi kusikia wakitembezwa nao majukwaani..?
Tatizo la huyu jamaa haelewi kuwa anatumiwa tu, na ipo siku tu umuhimu wake utaisha na atatupwa jalalani..Ambacho kinazunguka katika kichwa changu ni kuwa Mwigulu anacheza mchezo mchafu sana hapa na ni kama ndio kaishika sasa hv magamba..
Picha lipo hivi, Mwigulu alitafuta vijana wa kumfanyia umafia jamaa, kwa kumwagia tindikali alaf ionekane ni Chadema..Alafu baadae hao hao Magamba wakakubaliana na jamaa watampeleka nje kupata matibabu lakini akirudi atazungushwa kusema kuwa chadema ndio walimfanyia hivyo..Maana jamaa alikuwa hana msaada wowote ilibidi akubaliane nao, na ndicho anafanya sasa..
Huyu Mwigulu ni mtu hatari sana, na ipo siku yake itafika, anadhani Mungu hamuoni anayoyafanya...

Wote wawoli ni mavuvuzela hawana jipya zaidi ya siasa za majitaka
 
Kwa kuwa ni mdhalilishaji na mkiukaji wa haki za binadamu...
Kama angelikuwa na mapenzi mema kwa huyo kijana, basi pasi hiyana angelisaidia matibabu walau kufanyiwa plastic surgery...
 
Kila kona ambapo Mwigulu amekiwa akienda huyu kijana wa Igunga aliyemwagiwa tindikali yupo nae..Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini anamtumia huyu jamaa, mbona zamani hatukuwahi kumsikia mpaka baada ya kumwagiwa tindikali? Ana uhakika gani kuwa ni Chadema ndio walimwagia hiyo tindikali? Mbona kuna watu kibao tu wana matatizo zaid ya jamaa na hatuhawahi kusikia wakitembezwa nao majukwaani..?
Tatizo la huyu jamaa haelewi kuwa anatumiwa tu, na ipo siku tu umuhimu wake utaisha na atatupwa jalalani..Ambacho kinazunguka katika kichwa changu ni kuwa Mwigulu anacheza mchezo mchafu sana hapa na ni kama ndio kaishika sasa hv magamba..
Picha lipo hivi, Mwigulu alitafuta vijana wa kumfanyia umafia jamaa, kwa kumwagia tindikali alaf ionekane ni Chadema..Alafu baadae hao hao Magamba wakakubaliana na jamaa watampeleka nje kupata matibabu lakini akirudi atazungushwa kusema kuwa chadema ndio walimfanyia hivyo..Maana jamaa alikuwa hana msaada wowote ilibidi akubaliane nao, na ndicho anafanya sasa..
Huyu Mwigulu ni mtu hatari sana, na ipo siku yake itafika, anadhani Mungu hamuoni anayoyafanya...

lengo ni moja tuu kuwajulisha watanzania matendo maovu ya kigaidi ya chadema,kwa minutes
 
Kila kona ambapo Mwigulu amekiwa akienda huyu kijana wa Igunga aliyemwagiwa tindikali yupo nae..Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini anamtumia huyu jamaa, mbona zamani hatukuwahi kumsikia mpaka baada ya kumwagiwa tindikali? Ana uhakika gani kuwa ni Chadema ndio walimwagia hiyo tindikali? Mbona kuna watu kibao tu wana matatizo zaid ya jamaa na hatuhawahi kusikia wakitembezwa nao majukwaani..?
Tatizo la huyu jamaa haelewi kuwa anatumiwa tu, na ipo siku tu umuhimu wake utaisha na atatupwa jalalani..Ambacho kinazunguka katika kichwa changu ni kuwa Mwigulu anacheza mchezo mchafu sana hapa na ni kama ndio kaishika sasa hv magamba..
Picha lipo hivi, Mwigulu alitafuta vijana wa kumfanyia umafia jamaa, kwa kumwagia tindikali alaf ionekane ni Chadema..Alafu baadae hao hao Magamba wakakubaliana na jamaa watampeleka nje kupata matibabu lakini akirudi atazungushwa kusema kuwa chadema ndio walimfanyia hivyo..Maana jamaa alikuwa hana msaada wowote ilibidi akubaliane nao, na ndicho anafanya sasa..
Huyu Mwigulu ni mtu hatari sana, na ipo siku yake itafika, anadhani Mungu hamuoni anayoyafanya...

kafilisika anatembea na bango la matangazo linalomwangamiza cccccccccccmmmmmm
 
Nikukumbuka unyama ambao chadema waliyofamnyia Mussa Tesha naichukia kabisa
IMG-20180319-WA0000.jpeg
 
Kwani alipofungua kesi dhidi ya hao anaowatuhumu hukumu iliishaje!?

Anyway,bora yeye kajeruhiwa na hao anaowaita Chadema,jamaa zake toka kwenye chama chake hicho cha jembe na nyundo wanaua kabisa na kuzika kwa majeneza ya sandarusi mitoni!!
 
Magazeti mengine hata ukimkuta mwanao analisoma unatakiwa kumuadhibu maana akiendelea kulisoma litamsababishia mtindio wa ubongo.
 
Genge la wahuni hilo, Mbona linafahamika!
Utaahira mwisho geti la Lumumba.

Tangu Mwigulu aanze kukitembeza hicho kinyago chake hadi leo ni waziri wa mambo ya ndani anashindwa nini kuwakamata hao wahuni, msitufanye wote mataahira kama nyie.
 
Back
Top Bottom