Kwanini TCU wamefunga system ya udahili wanafunzi mapema?

Kwanini TCU wamefunga system ya udahili wanafunzi mapema?

wakuu kuna vyuo vimetoa 4th round waliochaguliwa mfano st.john asa hii inakuwaje 4th inatoka kabla ya deadline haijafka?
 
Ukiona inazingua kuadd program juwa umechaguliwa tayar fatilia vyuo ulivyojaza!
 
sijachaguliwa ila maajabu vyuo nlivoomba kabla ya deadline wametoa 4th round selected.hapo ndo sielewi how na cjachaguliwa
vigezo unavo dd na gpa ya 3 mana wapo walioomb uku awana sifa awajachaguliwa wahi nacte upewe diploma
 
Back
Top Bottom