lil wayne
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 992
- 905
Mfumo wa udahili wa wanafunzi wanaoomba nafasi ya kujiunga na chuo kikuu umefungwa.
Vijana bado wako kwenye mchakato wa kuomba nafasi lakini kuanzia leo jioni system imepotea kabisa hewani, ukizingatia deadline ni tar 26/10/16 saa 5:59 usiku.
http://41.93.31.137:8080/noas // http://cas.nacte.go.tz/
Vijana bado wako kwenye mchakato wa kuomba nafasi lakini kuanzia leo jioni system imepotea kabisa hewani, ukizingatia deadline ni tar 26/10/16 saa 5:59 usiku.
http://41.93.31.137:8080/noas // http://cas.nacte.go.tz/