Sawa mkuuTCRA wametoa agizo kwamba kila muuza simu lazima asajiliwe. Hii itafanya iwe rahisi kwa simu kusajiliwa kabla ya kuuzwa. Kwa hivyo mkuu usipate shida tatizo lako limetatuliwa
Umepewa mfano wa international travellers , amabao wao simu zao zinalazimika kumeza Kila sim card kadhaa kutokana na nchi anayokwenda , Hawa ukimwambia asajili simu basi itakuwa ni usumbufu wa kutoshaSimu nimenunua three years back hilo box lenye IMEI nitakuwa nalo bado tu humo ndani? Kwani kuna technical hindrance gani kwenye kusajili handsets???
Kuna gari za IT zinatoka South Afrika mpaka Tanzani (zingine kutokea Tanzania mpaka Zimbabwe) zinapita nchi ngapi na kote lazima zisajiliwe na idara za customsTra wanasajili chassis number kwa sababu hakuna mahala gari Hilo linaweza kutumia namba mbili tofauti na Hadi wanalisajili kinakuwa ni either halijawahi sajiliwa au lilikuwa de registered somewhere .
Usumbufu ndio gharama ya kuishi kwa usalama. Mbona wakati wa operations za Polisi hutangazwa Curfew na watu kulazimika kutotoka nje usiku pasipo kuangalia shughuli za kiuchumi za muhusika. Kwani huu sio usumbufu?Umepewa mfano wa international travellers , amabao wao simu zao zinalazimika kumeza Kila sim card kadhaa kutokana na nchi anayokwenda , Hawa ukimwambia asajili simu basi itakuwa ni usumbufu wa kutosha
Yeah Mimi Nina simu miaka 3 sahizi, box lipo, risiti ipo. Huwa situpi vitu ovyo, box la simu, tv, deki, sijui nini Nina stoo nahifadhi hukoSimu nimenunua three years back hilo box lenye IMEI nitakuwa nalo bado tu humo ndani? Kwani kuna technical hindrance gani kwenye kusajili handsets???
Suala sio kutupa nyaraka hovyo bali ni mambo mengi yanaweza kupelekea vitu hivyo kupoteaYeah Mimi Nina simu miaka 3 sahizi, box lipo, risiti ipo. Huwa situpi vitu ovyo, box la simu, tv, deki, sijui nini Nina stoo nahifadhi huko
Gari ya IT haisajiliwi na mamlaka za Kodi Kama ipo on transit , inapita kwa mfumo wa BondKuna gari za IT zinatoka South Afrika mpaka Tanzani (zingine kutokea Tanzania mpaka Zimbabwe) zinapita nchi ngapi na kote lazima zisajiliwe na idara za customs
Usumbufu ninaongelea ni kuwa ili simu iwe registered na mamlaka ya nchi fulani , inabidi iwe deregistered nchi iliyotoka , ni standard procedure kwa items nyingi hasa magari , huwezi kuwa na kitu kina status mbili kwa sehemu mbili tofauti.Usumbufu ndio gharama ya kuishi kwa usalama. Mbona wakati wa operations za Polisi hutangazwa Curfew na watu kulazimika kutotoka nje husiku pasipo kuangalia shughuli za kiuchumi za muhusika. Kwani huu sio usumbufu?
Kuna wakati ni lazima watu wasumbuke kwa maslahi yao wenyewe.
Yaani tcra wana uwezo wa kuona IMEI ya simu zote zilizo hewani na kujua simu iko wapi na ni ya nani,, kwahiyo haihitaji process ya kusajili imei ,maana wanaziona automatically,Kwanini handset isisajiliwe wakati wa kununua pale dukani? Iwe ni compulsory....
Mkuu, tatizo lipo kwa ndugu zetu wa Polisi. Kama ukipoteza simu yako na ukaenda kutoa report cha kwanza kukuuliza ni IMEI number wakati wao na TCRA zote ni mamlaka za serikali moja...Yaani tcra wana uwezo wa kuona IMEI ya simu zote zilizo hewani na kujua simu iko wapi na ni ya nani,, kwahiyo haihitaji process ya kusajili imei ,maana wanaziona automatically,
Nadhani hakuna coordinationMkuu, tatizo lipo kwa ndugu zetu wa Polisi. Kama ukipoteza simu yako na ukaenda kutoa report cha kwanza kukuuliza ni IMEI number wakati wao na TCRA zote ni mamlaka za serikali moja...
tunaonunua mtaaniKwanini handset isisajiliwe wakati wa kununua pale dukani? Iwe ni compulsory....
Hiyo ni njia ya wao kujipatia kipato, likiwa ni Jambo sensitive imei yako wanaipata tu Wala hawatakuuliza , Ila ukiwa na shida weye ndo wanakutingishaMkuu, tatizo lipo kwa ndugu zetu wa Polisi. Kama ukipoteza simu yako na ukaenda kutoa report cha kwanza kukuuliza ni IMEI number wakati wao na TCRA zote ni mamlaka za serikali moja...