Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya thanks to God the Almighty.
TCRA na Polisi waweke utaratibu maalum wa namna watu wanaweza kuuziana vifaa vya mawasiliano pasipo kuhusishwa na uhalifu.
Unakuta kwa mfano Athumani ananunua simu kutoka kwa Alexander alafu baada ya mwezi mmoja Athumani anakuwa tracked na wataalam wa TCRA pamoja na Police kisha anakamatwa nyumbani kwake Mbagala kwa kosa la kukutwa na mali ya wizi.
Unaweza kukuta si Athumani wala Alexander ambao ni wezi, ila kwa kuwa umekosekana utaratibu mzuri wa kufanya transactions za secondhand communication devices, unakuta baadhi ya watu wanaingia katika mkenge wa kujihusisha na uhalifu pasipo kujijua.
Unakuta huyo Alexander alinunua simu mwaka 2017 miaka miwili iliyopita jambo ambalo kwa hali ya kawaida ya kibinadamu na maisha yetu ya kiafrika ni ngumu mtu kutunza receipt ya manunuzi, hivyo na yeye pia ilimlazima auze simu ile pasipo kukabidhi original receipt.
Kwanini sisi watanzania tunashindwa kujiwekea utaratibu mziri wa maisha yetu mpaka tusubiri wazungu waanze na sisi ndio tuige?
Mbona TRA wanao utaratibu mzuri sana wa kufanya motor vehicle transfer kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine ilhali wamiliki wa magari na wachache sana ukilinganisha na wamiliki wa simu za kiganjani?
PROPOSED SOLUTION: Kabla ya kuuza handset, mtu anapaswa kufuata clearance letter kutoka police itakayoonesha ya kuwa yeye ndiye mmiliki halali wa kifaa hicho na hakijawahi kuhusika katika tukio lolote la kihalifu.
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
VODACOM WAME-COPY "CONSTRUCTIVE IDEA" YANGU. WANILIPE.
TCRA na Polisi waweke utaratibu maalum wa namna watu wanaweza kuuziana vifaa vya mawasiliano pasipo kuhusishwa na uhalifu.
Unakuta kwa mfano Athumani ananunua simu kutoka kwa Alexander alafu baada ya mwezi mmoja Athumani anakuwa tracked na wataalam wa TCRA pamoja na Police kisha anakamatwa nyumbani kwake Mbagala kwa kosa la kukutwa na mali ya wizi.
Unaweza kukuta si Athumani wala Alexander ambao ni wezi, ila kwa kuwa umekosekana utaratibu mzuri wa kufanya transactions za secondhand communication devices, unakuta baadhi ya watu wanaingia katika mkenge wa kujihusisha na uhalifu pasipo kujijua.
Unakuta huyo Alexander alinunua simu mwaka 2017 miaka miwili iliyopita jambo ambalo kwa hali ya kawaida ya kibinadamu na maisha yetu ya kiafrika ni ngumu mtu kutunza receipt ya manunuzi, hivyo na yeye pia ilimlazima auze simu ile pasipo kukabidhi original receipt.
Kwanini sisi watanzania tunashindwa kujiwekea utaratibu mziri wa maisha yetu mpaka tusubiri wazungu waanze na sisi ndio tuige?
Mbona TRA wanao utaratibu mzuri sana wa kufanya motor vehicle transfer kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine ilhali wamiliki wa magari na wachache sana ukilinganisha na wamiliki wa simu za kiganjani?
PROPOSED SOLUTION: Kabla ya kuuza handset, mtu anapaswa kufuata clearance letter kutoka police itakayoonesha ya kuwa yeye ndiye mmiliki halali wa kifaa hicho na hakijawahi kuhusika katika tukio lolote la kihalifu.
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
VODACOM WAME-COPY "CONSTRUCTIVE IDEA" YANGU. WANILIPE.
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellect
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellectual endeavor. ORIGINAL THREAD HII HAPA NILIIANDIKA OCTOBER 21 MWAKA 2018. Screenshot hapo juu ni user interface ya Vodacom M-pesa. Shikamooni...
www.jamiiforums.com