Elections 2010 Kwanini TBC hawakumkatia Mkapa matangazo??!

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,022
..nimeshangazwa na kitendo cha TBC kumuacha Mkapa atoe maneno machafu-machafu ambayo hayastahili wakati wa kampeni au kusikilizwa na watoto.

..kwanini TBC hawakumkatia matangazo kama walivyofanya kwenye mkutano wa ufunguzi wa Chadema?

..shame on TBC!!!
 
Jana niliona ka-kipindi kao wakokapachika jina "Haikuwa raisi" Tido alikiri wao ndio walikuwa wanafanya maamuzi ya kukata matangazo;
utafikiri waliitwa kama si kumbelembele chao kuonesha eti wako fair; kumbe wanatafuta posho tu.
 
hii tv jamani ni ya wananchi au ya ccm....vyombo vya habari vimechakaqchuliwa, uchaguzi umechakchulwa .............tanzania siju tunakwenda wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…