..nimeshangazwa na kitendo cha TBC kumuacha Mkapa atoe maneno machafu-machafu ambayo hayastahili wakati wa kampeni au kusikilizwa na watoto.
..kwanini TBC hawakumkatia matangazo kama walivyofanya kwenye mkutano wa ufunguzi wa Chadema?
..shame on TBC!!!