Tunahitaji Tech Journalists wengi Tanzania.
Technojia inazidi kukua na hatuna watu wa kutosha kuelewesha jamii juu ya masuala ya Teknolojia. Elimu hii inahitajika sana.
Kama tulivyo na sports, Medical, entertainment, fashion, political etc.
Jamii inahitaji hii Elimu sana au wewe mdau unasemaje tuachie maoni yako ?
View attachment 3148863
#TechNews #Elimu #TCRA #tanzania