vamda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 865
- 535
Ndugu wana JF. Salamu.
Kwenye nchi kadhaa nilizosafiri nimeona madukani/masokoni bidhaa zote zimebandikwa bei.
Hapa nchini kwetu hali ni kinyume. Duka moja lakini watu tunauziwa bidhaa moja kwa bei tofauti.
Maswali:
1. Huu ni uzembe wa maafisa biashara?
2. Sera mbovu ya biashara nchini?
3. Wafanyabiashara wameruhusiwa kuwaibia wananchi?
Naomba wenye weledi watujuze
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye nchi kadhaa nilizosafiri nimeona madukani/masokoni bidhaa zote zimebandikwa bei.
Hapa nchini kwetu hali ni kinyume. Duka moja lakini watu tunauziwa bidhaa moja kwa bei tofauti.
Maswali:
1. Huu ni uzembe wa maafisa biashara?
2. Sera mbovu ya biashara nchini?
3. Wafanyabiashara wameruhusiwa kuwaibia wananchi?
Naomba wenye weledi watujuze
Sent using Jamii Forums mobile app