johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,923
- 141,889
Nimejaribu kuwaangalia wanasiasa wengi ambao kitaaluma ni wanasheria kwa kweli ni watu wenye majivuno na waliopungukiwa unyenyekevu kabisa.
Pale bungeni tuna wanasheria wa kutosha tukianzia na Naibu wa Spika Dr. Tulia, mzee Chenge, Prof. Kabudi, Tundu Lissu, Halima Mdee, Simbachawene nk. Jaribu kuwaangalia wanasiasa hawa mmoja mmoja utaona kuna kitu wanafanana
Halafu jikumbushe yule Werema namna alivyoishi bungeni na majina aliyowatungia akina Kafulila.
Njoo kwa Mdee sasa ndio utachoka kabisa mara utasikia sijui kaonyesha alama gani bungeni..... yaani full vituko.
Yule mwingine sitaki kabisa kumzungumzia kwa sasa.
Jioni njema
Maendeleo hayana vyama!
Pale bungeni tuna wanasheria wa kutosha tukianzia na Naibu wa Spika Dr. Tulia, mzee Chenge, Prof. Kabudi, Tundu Lissu, Halima Mdee, Simbachawene nk. Jaribu kuwaangalia wanasiasa hawa mmoja mmoja utaona kuna kitu wanafanana
Halafu jikumbushe yule Werema namna alivyoishi bungeni na majina aliyowatungia akina Kafulila.
Njoo kwa Mdee sasa ndio utachoka kabisa mara utasikia sijui kaonyesha alama gani bungeni..... yaani full vituko.
Yule mwingine sitaki kabisa kumzungumzia kwa sasa.
Jioni njema
Maendeleo hayana vyama!