Kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha?

Hao wanaopinga ndio wametufikisha hapa, waliaminishwa na jpm kuwa nchi inaweza kwenda kwa kuwaona waliokuzidi ni maadui wako, unafikiria hata mafuta ya kula tatizo lilianzia pale alipopiga marufuku uingizaji wa mafuta ghafi kwa kuweka kodi ya juu sana kikichotokea hadi leo ni kilio!!yeye mama aruhusu tu bidhaa zenye upungufu nchini ziingie tu ili hata kwa mlaji kuwe na unafuu!!tatizo la wafuasi wa awamu ya tano, bado wanafirikia mama amemshikia tu jamaa atarudi.hivyo zile sera zake za hovyo ziendelee kukumbatiwa.
Ni kweli kabisa wanamuona mama bado ni makamu na sasa amekaimu tu!! Kosa kubwa la mama sijui ni hajui au ni anafanya kusudi ni kuendelea kuacha virusi vya jpm viendelee kuhudumu katika nafasi mbali mbali bila kujua kuwa vipo kwenye mpango wa kukwamisha kila juhudi za mama kwa kifupi bado tuna kazi ngumu na kubwa,,. Dawa pekee ni katiba mpya iliyo Bora isiandikwe kwa mapenzi iandikwe kwa uhitaji
 
Ni kweli lakini sukari nitatizo ila tatizo kubwa ni mfumo nchii bdo atuna viongozi wa kutuongoza bali tuna viongoz wa kututawala ndomana kila anae kuja anakuja na yakwakwe anayo yaona yko sahii yan wenye mamlaka na nchii hii atuma maamuzi kinachofanyika ni nchi kurud kwenye mikono ya madaral so wanatafutiana ulaji ivi kweli sisi tunashindwa kudhalisha sukar ya kututosha na kuuza nje tena kwa gharama nafuu
 
Wanataka tu kutukomoa na kupandisha bei kila kitu bila sababu maalumu. Kila kitu kitasingiziwa soko la dunia
Biashara ya sukari nchini ni kama biashara ya madawa ya kulevya huko Mexico!! Kuna ma tycoons, ndio wanajiona wenye biashara hii, kupata kibali tu cha kuingiza sukari nchini kwa mtu mwingine tofauti na hao wahindi, cjui ufanye je!!!ndio hao wanao kula na bodi ya sukari.kuna umafia mkubwa sana,
 
Miaka yote Tz, tunaagiza sukari toka nje sijui kwanini hii kauli ya rais imeonekana ya ajabu au ni kwakuwa ni kutoka UGANDA, ila brazil ni sawa!!
Shida imekuja kwenye awamu ya tano ndiyo tatizo lilipoanzia mkuu watu waliaminishwa kisichowezekana kuwa kinawezekana na ndiyo maana kuanzia pale mpaka sasa mifumuko ya Bei inakuepo sasa kwa mtu asiejishughulisha kichwani anajenga picha kuwa mama ndiyo sababu na hii ni tabia ya mtu yeyote anaeangalia alipodondokea bila kufikiri alianza kujikwaa, akapepesuka hatua kadha na kuyumba hatimae akaja kudondokea hapa alipo inahitaji utulivu wa akili kubaini mfumuko wa Bei ya sasa nimaandalizi mabovu ya mifumo miaka ya nyuma,, sasa bado wanataka pasirekebishwe twende na mifumo mibovu ndiyo maana hawataki sukari iagizwe nje sasa kwa maumivu zaidi ya baadae
 
Ni kweli kabisa wanamuona mama bado ni makamu na sasa amekaimu tu!! Kosa kubwa la mama sijui ni hajui au ni anafanya kusudi ni kuendelea kuacha virusi vya jpm viendelee kuhudumu katika nafasi mbali mbali bila kujua kuwa vipo kwenye mpango wa kukwamisha kila juhudi za mama kwa kifupi bado tuna kazi ngumu na kubwa,,. Dawa pekee ni katiba mpya iliyo Bora isiandikwe kwa mapenzi iandikwe kwa uhitaji
Yeye anaona kama kuwatenga kabisa hataeleweka ndani ya chama lakini hao hao ndio maadui zake wakubwa sana kuliko hata CHADEMA!!na hili asubilie 2025, ndipo ataliona!!!
 
Wanataka tu kutukomoa na kupandisha bei kila kitu bila sababu maalumu. Kila kitu kitasingiziwa soko la dunia
Hiyo ndiyo maana yake inaonekana Kuna walaji wachache wenye nguvu ya kutudhibiti wote hili linaweza kumalizwa na katiba mpya iliyo Bora zaidi
 
Biashara ya sukari nchini ni kama biashara ya madawa ya kulevya huko Mexico!! Kuna ma tycoons, ndio wanajiona wenye biashara hii, kupata kibali tu cha kuingiza sukari nchini kwa mtu mwingine tofauti na hao wahindi, cjui ufanye je!!!ndio hao wanao kula na bodi ya sukari.kuna umafia mkubwa sana,
Kweli kazi iendelee
 
Yeye anaona kama kuwatenga kabisa hataeleweka ndani ya chama lakini hao hao ndio maadui zake wakubwa sana kuliko hata CHADEMA!!na hili asubilie 2025, ndipo ataliona!!!
Kabisaaa yaani hiki ni kirusi Cha kuua mtu 2025 na hajui kuwa wanafanya yoote lakini Target yao ni 2025,, Kama mama angejua hili angeongoza Kama anaongoza mwaka mmoja tu yaani awe karibu zaidi na kutekeleza zaidi matakwa ya wapiga kura kuliko kuwaangalia wanasiasa wenzake hapo angejiwekea nafasi kubwa Sana katika kutoboa na Jambo la Kwanza angeruhusu mchakato wa katiba Tena kwa kasi ya ajabu halafu iwe Kama wananchi wanavyotaka ingempa nguvu ya kutoboa na hapo wananchi wangekuwa marafiki zake angepata kura halali na baada ya yeye kumalizana chama kingeishia hapo hapo
 
sababu tunalinda viwanda vyetu hata iwe kilo 1 sh 5000 sisi hatutaagiza sukari nje tunalinda viwanda vyetu hata mwananchi ashindwe kununua sukari lakini tunalinda viwanda vyetu huu msemo wanao sana watanzania bila kijifikiria yeye mwenye au kumfikiria mtu mwingine
Hiyo ilikuwa kauli ya dingi mmoja sasa anawaongoza malaika huko mbinguni na wale waliokuwa wanatembelea MAVIETE ndo walikuwa wanamsapoti kwa kauli za kindezi zilizoua uchumi wa nchi na wa wananchi wengine.
 
Biashara ya sukari nchini ni kama biashara ya madawa ya kulevya huko Mexico!! Kuna ma tycoons, ndio wanajiona wenye biashara hii, kupata kibali tu cha kuingiza sukari nchini kwa mtu mwingine tofauti na hao wahindi, cjui ufanye je!!!ndio hao wanao kula na bodi ya sukari.kuna umafia mkubwa sana,
Halafu utakuta hao hao wahindi ndiyo Tena wawekezaji katika viwanda vyetu vya sukari halafu unategemea sukari izalishwe nyingi ?
 
Mie hiyo sumu nanunua Unguja1 kg kwa sh 2000/-. Inamaana hata Zanzibar wanaweza kutupatia kiasi flani cha sukari lakini na yenyewe inapigwa pini.
 
Sukari ya nje haijaanza kuwa tamu leo😁😁😁
0n3.jpg
 
Sasa ao wengine atapata wp wkt wote ni ccm mawazo yao na akiri zao zinafanana wote wamejengwa kwa msingi wa kutawala sio kuongoza unategemea afanye nn mama muachen tu nae apite kma walivyo pita wengine tu mpka tutakapo pata akili tutaamua maamuzi magumu
 
Kwaiyo serikal imeshindwa kutengeneza mazingira wezeshi watu wawekeze kwenye uzarishaji wa sukari japo tunaeneo kubwa la kuzarisha iyo sukar sisi kma Tanzania sukar isingekuwa miongon mwa changamoto mana tuna kila kitu ardhi ipo matajir wenye uwezo wa kuwekeza wpo soko la kuuza lipo wataalam wp so tunafer wp na nani wa kulaumiwa jibu ni ccm na kutuzalishia watawala madalali kma wakina makamba
 
na wese limepanda.....tuliaminishwa bei itashuka.......naipenda TANZANIA........ watanzania tuko vizuri kwenye mijadala na HOJA zenye mashiko........ila ni MIJIBWA koko..........kuna wenzetu huko bei ya mkate ilipanda mtafaruku mpaka meza kuu ikapinduliwa....daaaadek........
 
na wese limepanda.....tuliaminishwa bei itashuka.......naipenda TANZANIA........ watanzania tuko vizuri kwenye mijadala na HOJA zenye mashiko........ila ni MIJIBWA koko..........kuna wenzetu huko bei ya mkate ilipanda mtafaruku mpaka meza kuu ikapinduliwa....daaaadek........
Kuna kitu ambacho watanzania walio wengi wana kitu hicho nacho ni ubinafsi,, ubinafsi umetawala roho za watanzania karibu wote,,,, sukari ikipanda Bei wanasema Mimi na wanangu tunatumia kilo moja kwa siku tano hata nikinunua elfu 3 bado sio hasara kwangu watajua wenyewe bila kujua hiyo ni mbegu ameipanda mazao yatakuwa mengi kuliko mbegu!! Kwa mfano mafuta Kama petroleum na jamii zake ikipanda anasema mimi Sina gari nauli yangu inanifikisha nienfako billa kujua kuwa kitu chochote kinachopandishwa Bei na matajiri mwisho wa siku mlaji wa mwisho ndiye mlipaji mkuu,, nataka niwakumbushe watanzania wenzangu kuwa Ukiona tajiri anamiliki mabasi ya abiria jua kabisa sisi abiria ndiyo tumenunua ile gari Kama tusingekuwa tume msupport Wala asingeweza kuyanunua hayo mabasi hivyo Bei za mafuta na vipuri kupanda Bei haimuathiri tajiri athari zinakuja kwetu abiria na wateja,, maana atakachofanya ili aweze kumudu gharama za uendeshaji inamlazimu apandishe Bei ya nauli ili aweze kununua mafuta na vipuri hivyo tusitegemee hata siku moja tajiri kutoka ndani eti aandamane ili mafuta yasipande au sukari isipande tutachakaa sisi katika hili
 
Back
Top Bottom