Kwanini SmartKaya ya Isaya Yunge haijaanza

Kwanini SmartKaya ya Isaya Yunge haijaanza

Tañzania bado tunaishi primitively , as if tupo Stone age , hii ni KWA sababu ya UONGOZI mbovu labda siku hii nchi akipewa kijana wa dotcom Tutasonga mbele
Si kweli

Akili ,busara,uaminifu,ubunifu na uchapakazi hauangalii mtu alizaliwa lini!

Usilete ubaguzi wa umri kuchambua watu..kwanini usitumie kigezo cha "meritocracy=uwezo"?
 
SomaApp FALL
SmartFit FALL
SmartKaya FALL

Startup mode of Business ngumu kwa Tz both digita and Hardware parts.

Kwa Tz njia yenye uhakika kidogo Kuanzisha Digital Product ambyo haina Mode ya Startup Company.
Mashamba aliyokua anapiga nayo picha "of which i doubt kama ni yake" FAILED

Alijipeleka forex of which obviously FAILED

Aligombea ubunge na mboga mboga straight up FAILED

Amebakia na hoja za kijinga za "ooh utanzania,mimi mtanzania,and blah balh" hajui free market dont give a fvck they want better price and better products,thats it!
 
Siku zote tunawaambia vijana jiulize maswali kadhaa....

1. Tatizo gani unajaribu kutatua?
2. Lina ukubwa gani?
3. Hao unaowaletea suluhisho, wanashindwa kuvumilia hilo tatizo?
4. Gharama ni kiasi gani?
 
SomaApp FALL
SmartFit FALL
SmartKaya FALL

Startup mode of Business ngumu kwa Tz both digita and Hardware parts.

Kwa Tz njia yenye uhakika kidogo Kuanzisha Digital Product ambyo haina Mode ya Startup Company.
Watanzania kwenye biashara bado tukifeli kidogo tu basi tunakata tamaa Elon musk billionaire mkubwa duniani kwa sasa alipambana miaka karibia kumi mpaka kufika hapa alipo na alishatengeneza app nyingi zikafeli sokoni kutengeneza jina na kuaminika sio mchezo it needs time and hard work to accomplish it.
 
Tañzania bado tunaishi primitively , as if tupo Stone age , hii ni KWA sababu ya UONGOZI mbovu labda siku hii nchi akipewa kijana wa dotcom Tutasonga mbele
Tatizo vijana wanakesha fb na Instagram kubishana kina diamond na zuchu kama ni kweli ni wapenzi badala ya vitu vya maana kama hivi.
 
Watanzania kwenye biashara bado tukifeli kidogo tu basi tunakata tamaa Elon musk billionaire mkubwa duniani kwa sasa alipambana miaka karibia kumi mpaka kufika hapa alipo na alishatengeneza app nyingi zikafeli sokoni kutengeneza jina na kuaminika sio mchezo it needs time and hard work to accomplish it.
Mtanzania akifeli,anaanza kulia

Ukimwambia ukweli anaanza kusema hatumpendi

Analia anasema Watanzania hatumpendi Mtanzania mwenzie

Yeye anashindwa kuweka bidhaa sokoni inayopambana na wengine wote duniani analilia "uzalendo",hii ni kupenda entitlement!

Wananchi owe you nothing...mwananchi with his or her hard earned money eti alipe mara tano zaidi ya bei iliyopo sokoni sababu tu it happened alizaliwa on plot of real estate called TZ?

Weka bidhaa bora yenye bei bora sokoni,anybody will buy right away,hii kuingiza Utanzania ni tayari kashafeli!

Analia eti Watz hatumpendi,kumbe mtu anaingia kwenye biashara kutegemea wanadamu 'wampende" ili wanunue bidhaa yake dola 100 wakati next duka inauzwa dola 20?
 
Back
Top Bottom