shule za private wanafaulu sana kuliko shule za serikari?wakati vifaa,walimu na vatabu wanavyotumia ni vya haina moja?
kwann na shule za serikari zisifanye ivyo?
We umesoma ipi kati ya hizo?mi nakuambia coz i've been through both katika elimu yangu, nakuelewesha naona huelewi au ulitaka nikuambie sababu ni UCHAWI?
unamnisha shule za serikali au shule za kata?kwann na shule za serikari zisifanye ivyo?
<br />Mbona han wanaofaulu huko private 2kikutana nao vyuon,unakuta hawana lolote!me bado naamin gvt schools zko poa sana,ni suala la mwanafunzi mwenyewe kujitambua 2.
<br /> <br / dah mkubwa,.nini maana ya private institutions?. Au unataka kusema islamic owned sio private?Si kweli. Your statement is not true. Which type of schools, Islamic, Catholic , Anglikan, Individual ? specify
shule za private wanafaulu sana kuliko shule za serikari?wakati vifaa,walimu na vatabu wanavyotumia ni vya haina moja?