Kwanini serikali inawaogopa wakatoliki?

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,804
18,530
Pengo alishawaambia CCM wajisafishe miaka 11 iliyopita!

WANANCHI mbalimbali wameendelea kukilaumu Chama Cha Mapinduzi kutokana na kero zinazowakabili raia na wamekitaka chama hicho kuleta mabadiliko badala ya kuendelea kuwatisha raia wanaokikosoa chama hicho tawala.

Wanachi hao wamekuwa wakitoa maoni yao kufuatia kuzuka kwa vita vya maneno kati ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Bw. Zakaria Kakobe na kiongozi mmoja wa kitaifa wa CCM, Bw. Emmanuel Nchimbi.

"Shida zote hizi ni sababu yao CCM, wao wanatanua kila siku na wala hawashituki kama sisi tupo na tunaumia", alisema Bw. Adolphonce Mikina, mfanyabiashara wa Manzese. Bw. Mikina ameilaumu CCM na kudai kuwa umri wa chama hicho haufanani na uwezo wake wa kuongoza nchi.

"Tuliipigia kura CCM kwa vile tulijua ni chama chenye uzoefu kuongoza nchi, lakini leo hii kila unapokwenda unadaiwa rushwa... na wao wala hawatusikilizi, tunaumia peke yetu", alisema Bw. Mikina anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40.

Mwananchi mwingine, Bw. Abdillah, amesema wananchi wa kawaida ndio wanaotaabika kutokana na serikali kutowajali.

"Mimi sioni kama huyu Askofu amewazulia CCM, mkitaka kero za chama hiki tuulizeni sisi watu wa kawaida", alisema Bw. Abdillah bila kufafanua "watu wa kawaida" ni watu wa aina gani.

"Hapa nilipo akili inanizunguka, siku yoyote mwanangu atasimamishwa shule shilingi 20,000 ya kukamilisha ada imenishinda", alisema mwananchi huyo.

"Redioni wanatangaza kutokomeza umasikini lakini hatupati msaada wowote, wanatangaza wasiyoyatenda ndio maana Kakobe anawaita wanafiki", aliongeza Bw. Abdillah.

Mwananchi mwingine amesema CCM inaendelea kuwagawa Watanzania na kuleta matabaka kwa "tabia yake ya kuwafumbia macho viongozi wa dini moja na kuwasakama viongozi wa dini zingine."

Mwananchi huyo ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema, "Maaskofu wa Katoliki wanasema watakavyo hakuna wa kuwagusa, lakini dini zingine hawatakiwi kufurukuta."

Akiendelea kutoa maoni yake mwananchi huyo alitahadhirisha kuwa tabia hiyo ya serikali "kuwadekeza" Maaskofu Wakatoliki kutaifikisha nchi pabaya kwa vile waumini wa dini zingine nao watachoshwa na upendeleo huo wa serikali kwa Wakatoliki.

Mwishoni mwa mwaka jana, Askofu Shayo alipokuwa akizungumza katika sherehe za Krismas aliilaumu serikali kwa kushindwa kutoa huduma muhimu kwa wananchi hali ambayo Askofu huyo wa Kanisa Katoliki alisema inaweza kuleta machafuko nchini.

Miezi michache baadaye Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam na kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Polycarp Kadinali Pengo alikemea CCM kuwa ni kichaka cha wahuni na akaitaka ijisafishe.

Chakushangaza, wameeleza wananchi waliotoa maoni yao, viongozi hao wa Kanisa Katoliki hawakukemewa na serikali wala CCM yenyewe.

Mbali na Askofu Kakobe kukemewa na Chama Cha Mapinduzi,kiongozi mwingine wa kidini aliyewahi kusakamwa na serikali baada ya kuitahadharisha CCM na Serikali yake juu ya dhuluma wanazofanyiwa wananchi ni Amir wa Shura ya Maimam, Sheikh Juma Mbukuzi ambaye alifunguliwa mashitaka.
 
CCM wajanja wanapenda Kupumbaza watanzania kwani wanajua kuamka kwao ndio Mwisho wao!!

Hivyo kila siku wanaomba wananchi waendelee kulala usingizi wa pono!! Kanisa katoliki siku zote wanapenda maendeleo na sio Blaablaa!! Hivyo sera ya magamba na wao inakuwa tofauti!!
 
Pengo alishawaambia CCM wajisafishe miaka 11 iliyopita!

WANANCHI mbalimbali wameendelea kukilaumu Chama Cha Mapinduzi kutokana na kero zinazowakabili raia na wamekitaka chama hicho kuleta mabadiliko badala ya kuendelea kuwatisha raia wanaokikosoa chama hicho tawala.


Wanachi hao wamekuwa wakitoa maoni yao kufuatia kuzuka kwa vita vya maneno kati ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Bw. Zakaria Kakobe na kiongozi mmoja wa kitaifa wa CCM, Bw. Emmanuel Nchimbi.
"Shida zote hizi ni sababu yao CCM, wao wanatanua kila siku na wala hawashituki kama sisi tupo na tunaumia", alisema Bw. Adolphonce Mikina, mfanyabiashara wa Manzese. Bw. Mikina ameilaumu CCM na kudai kuwa umri wa chama hicho haufanani na uwezo wake wa kuongoza nchi.
"Tuliipigia kura CCM kwa vile tulijua ni chama chenye uzoefu kuongoza nchi, lakini leo hii kila unapokwenda unadaiwa rushwa... na wao wala hawatusikilizi, tunaumia peke yetu", alisema Bw. Mikina anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40.
Mwananchi mwingine, Bw. Abdillah, amesema wananchi wa kawaida ndio wanaotaabika kutokana na serikali kutowajali.
"Mimi sioni kama huyu Askofu amewazulia CCM, mkitaka kero za chama hiki tuulizeni sisi watu wa kawaida", alisema Bw. Abdillah bila kufafanua "watu wa kawaida" ni watu wa aina gani.
"Hapa nilipo akili inanizunguka, siku yoyote mwanangu atasimamishwa shule shilingi 20,000 ya kukamilisha ada imenishinda", alisema mwananchi huyo.
"Redioni wanatangaza kutokomeza umasikini lakini hatupati msaada wowote, wanatangaza wasiyoyatenda ndio maana Kakobe anawaita wanafiki", aliongeza Bw. Abdillah.
Mwananchi mwingine amesema CCM inaendelea kuwagawa Watanzania na kuleta matabaka kwa "tabia yake ya kuwafumbia macho viongozi wa dini moja na kuwasakama viongozi wa dini zingine."
Mwananchi huyo ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema, "Maaskofu wa Katoliki wanasema watakavyo hakuna wa kuwagusa, lakini dini zingine hawatakiwi kufurukuta."
Akiendelea kutoa maoni yake mwananchi huyo alitahadhirisha kuwa tabia hiyo ya serikali "kuwadekeza" Maaskofu Wakatoliki kutaifikisha nchi pabaya kwa vile waumini wa dini zingine nao watachoshwa na upendeleo huo wa serikali kwa Wakatoliki.
Mwishoni mwa mwaka jana, Askofu Shayo alipokuwa akizungumza katika sherehe za Krismas aliilaumu serikali kwa kushindwa kutoa huduma muhimu kwa wananchi hali ambayo Askofu huyo wa Kanisa Katoliki alisema inaweza kuleta machafuko nchini.
Miezi michache baadaye Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam na kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Polycarp Kadinali Pengo alikemea CCM kuwa ni kichaka cha wahuni na akaitaka ijisafishe.
Chakushangaza, wameeleza wananchi waliotoa maoni yao, viongozi hao wa Kanisa Katoliki hawakukemewa na serikali wala CCM yenyewe.
Mbali na Askofu Kakobe kukemewa na Chama Cha Mapinduzi,kiongozi mwingine wa kidini aliyewahi kusakamwa na serikali baada ya kuitahadharisha CCM na Serikali yake juu ya dhuluma wanazofanyiwa wananchi ni Amir wa Shura ya Maimam, Sheikh Juma Mbukuzi ambaye alifunguliwa mashitaka.

Hivi Sheikh Mbukuzi yuko wapi siku hizi?Mbona kimya sana?Alivuma sana kipindi cha Mkapa
 
Gonjwa hili lilianza taratibu. Ilikuwa wahaya, wkaongezeka wa kilimanjaro Mara wakaongezeka wa.nya...........

Sasa limehamia kwenye dini..

Sasa gonjwa hili kwa wanasiasa tulionao plus wananchi wengi walvyo vilaza ni mtaji tosha.

Lord have mercy. Our father who at in heaven
 
Kwanza niwape hongera viongozi wengi wa Kikristo, kuanzia TEC, CCT n.k. Kwakua wakweli, waelimishaji wa maswala muhimu ktk taifa.

Mmekua sauti ya wasio na sauti, mnanguvu na watawala wanajua mnayo. Hamuwaogopi bali mnawaheshimu . Mungu/MOLA/JEHOVA Akawatie ujasiri zaidi ili muendelee na Injili kwa vitendo
 
CCM wajanja wanapenda Kupumbaza watanzania kwani wanajua kuamka kwao ndio Mwisho wao!! Hivyo kila siku wanaomba wananchi waendelee kulala usingizi wa pono!! Kanisa katoliki siku zote wanapenda maendeleo na sio Blaablaa!! Hivyo sera ya magamba na wao inakuwa tofauti!!
kanisa liko madarakani tangu uhuru (japokuwa halikudai uhuru) hayo maendeleo unayodai wanayapenda ni yepi na kwa nini sisi ni masikini wakutupwa? Wakati mwengine ukiandika kitu tafadhali utumie ubongo kufikiria na si makalio.
 
Kiwango cha hisia za ukabila na udini kwenye blog kama ni kikubwa mno kulinganisha na jinsi ilivyo kule mtaani. huko mtaani watu hawazungumzii wala kuleta hisia zenye kuchochea udini na ukabila kwa kiwango kikubwa kama ilivyo hapa

wengi wetu tunaotumia jamii forums tupo juu ya wastani wa mtz wa kawaida kielimu na wengi hapa ni secondary school livers na college graduates lakini ndio tunaongoza kwa kulikoroga kisawasawa

kama ukabila na udini vitatumbukiza taifa letu kwenye vurugu basi madhila hii itakuwa imeandaliwa vyema na wasomi wachache wa nchi yetu na hawa watabeba dhambi hii mabegani mwao!

Nini hasa unataka kusema. Maana sasa unachanganya serikali na dini wakati wewe ndie ulidai, "nukuu hapo juu", kuwa udini na ukabila unaharibu nchi.
 
(MKIPATA MUDA SOMENI HII)
The Black Pope ( Most Powerful man in the world )




Count Hans KolvenbachThe Jesuits General

So, you thought you were pretty well informed by now about all of the main players on the conspiracy playing field? Youve maybe been hearing for years about (or bumped into on your own) the various elements of society who control our world from behind the scenes.

Youve gotten familiar with the role played by, for instance, the Khazarian Zionists (who invented the word Jew to disguise their adopted heritage, as distinguished from the biblical Judeans), or the role played by the Banksters (banking gangsters) controlling the economies of the world, by the CFR (Council on Foreign Relations), the Trilateral Commission, the Bilderbergers, the Committee of 300 (the 17 wealthiest so-called elite families)the Rothschilds in England and Rockefellers in America and Bronfmans in Canada, and on and on, comprising the physical power structure of the New World Order puppets under the direction of darkly motivated, other-dimensional master deceivers commonly known as Lucifer or Satan and their fallen angel cohorts.

While all of those details contribute to understanding the Larger Picture, what you are about to read fills in a most important Missing Link in this entire structure. And I dont mean a little side issue; I mean a link so centralyet so well hidden from general public view, and for so longthat even the most studied of conspiracy theory scholars probably have not put together much of the information that is going to be presented here.

To call the following outlay controversial and sensitive is about as mild an understatement of the truth of the matter as can be made! This missing link changes the entire slant of the entire playing field!

Lets call this story the Jesuit-Vatican connection to the unfolding New World Order agenda. You make up your own mind just how absolutely central, yet well hidden, has been this link! Theres a good reason the secret Vatican library is so extensive and yet remains so intact from outside intrusion, despite the many others who would like to possess such a collection of information detailing much censored data about our true, otherworldly cultural heritage.

When one reads a work like Vatican Assassins, one cant help but reflect back on the purposely adjusted and watered down and boring moments in high school history class. Meanwhile, the true history of what has gone on is dynamic and full of calculated intrigue.

In this business, Ive heard and read a lot of things. But when I had to pick my jaw up off the floor during the reading of certain historical portions in Erics bookwell, let me just say that Truth certainly is stranger, and far more interesting, than the many fictions weve been led to believe are historical fact. And yet The Truth does fit together like the pieces of a jigsaw puzzle

One of my questions has to do with the Oath and its similarity to the Protocols Of The Learned Elders Of Zion.
The Jesuits obviously wrote the Protocols because they have carried out every protocol in that little handbook. They have carried everything out. And, Alberto Rivera saysand he was a Jesuithe was greatly maligned, not helped at all by the Apostate, Protestants, and Baptists in this country; he was helped, somewhat, by Jack Chick. Jack Chick published his story in six volumes, titled Alberto I, II, III, IV, V, & VI.

Alberto Rivera says that it was Jews aligned with the Pope who published the Protocols. Well, I tend to feel that it was just the Jesuits themselves because they, and they alone, were the ones who were able to bring this to pass.

Theyre the ones in the government. Theyre the ones behind professional sports. The owner of the Pittsburgh Steelers is a Knight of Malta. The owner of the Detroit Lions is a Knight of Malta. All your top owners of these ball clubs, for the most part, are Knights of Malta, getting the people whooped up in this hoopla over games and sports, while theyre busy creating a tyranny. So, that was one of the things in the Protocolsthat they would create amusements.

Another one they used was Walt Disney, 33rd-degree FreemasonDisneyworld, Disneyland. Another one was Milton Hersey, with Hersey Park. They create all of these amusements and games and pastimes to get the people drunk with pleasure, while theyre busy overthrowing the Protestant form of government.

Las Vegas, well, for the most part, is controlled by the Mafia. But all the high Mafia families are Roman Catholic, and they are ALL subordinate to the Pope or to the Cardinal of New York, which is Cardinal OConnorbecause the Commission, the Mafia Commission resides in New York.

Frank Costello was a member of the Mob Commission, and he was intimate, personal friends with Knight of Malta, Hollywood mogul, Joe Kennedy. And that has not changed.

So, the High Knights are good, dear brothers with the High Mafia Donsthe Gambinos, the Lucchese, the Columbos, all of them. And they control Hollywood, not the Jews. Its only Jews who are front-men who are involved in Hollywood and working for the Mafia and for the Cardinal, just like in politics it would be Arlen Spector. Arlen Spector was Spellys [Cardinal Spellmans] Jew in the assassination [of President Kennedy], and he would never say a word about it.

The Jesuit General is the absolute, complete, and total dictator and autocrat of the Order. When he speaks, his provincials move. The provincials are his major subordinates. There are around 83 provincials right now.
As I understand it, the Jesuit Order has divided the world into 83 regions. Ok? For each region, there is a Jesuit provincial. There are 10 provincials in the United States. There is one for Central America. There is one for Ireland. Theyve divided up the world into these provinces.

So its old Babylonian provincial government, centered in Nebuchadnezzar or the Jesuit General himself; so its strictly a Roman form of government where all the states or provinces are subordinate to this worldwide sovereign.

The Jesuit General exercises full and complete power over the Order. He meets with his provincials. When they decide to start a war or an agitation, he gets the information from the provincial of that country, how best to go about this, the demeanor of the people, and then he uses legitimate grievances to foam an agitationlike the 1964 Civil Rights Movement.

That was ALL a Jesuit agitation, completely, because the end result was more consolidation of power in Washington with the 1964 Civil Rights Act that was written by [the longtime President of the University of Notre Dame, the Reverend] Theodore Hesburgh.


The Jesuit General rules the world through his provincials. And the provincials then, of course, rule the lower Jesuits, and there are many Jesuits who are not professed, so many of the lower Jesuits have no idea whats going on at the top. They have no concept of the power of their Order.

Its just like Freemasonry. The lower have no idea that the High Shriner Freemasons are working for the Jesuit General. They think that theyre just doing works and being good people. But the bottom line is that the high-level Freemasons are subject, also, to the Jesuit General because the Jesuit General, with Fredrick the Great, wrote the High Degrees, the last 8 Degrees, of the Scottish Rite Freemasonry when Fredrick protected them when they were suppressed by the Pope in 1773.

So, you have the alignment with the Jesuit Order and the most powerful Freemason they had in the craft, Fredrick the Great, during their suppression. That is an irrefutable conclusion. And then, when you see the Napoleonic Wars, the French Revolution and the Napoleonic Wars carried out by Freemasonry, everything Napoleon did, and the Jacobins, whatever they did, completely benefited the Jesuit Order.

Its to this end that Alexander Dumas wrote his The Count Of Monte Cristo. The Count is the Jesuit General. Monte=Mount, Cristo=Christ. The Count of the Mount of Christ. Alexander Dumas was talking about the Jesuit General getting vengeance when the Jesuits were suppressed, and many of them were consigned to an island, three hours sailing, West, off the coast of Portugal. And so, when the Jesuits finally regained their power, they punished all of the monarchs of Europe who had suppressed them, drove them from their thrones, including the Knights of Malta from Malta, using Napoleon.

And Alexander Dumas,who fought for the Italian patriots in 1848, to free Rome from the temporal power of the Pope, wrote many books and one of the books was to expose this, and that was The Count Of Monte Cristo.
So, when you read that book, bear in mind that its really a satire on the Jesuit Order regaining their power in France. The Count of Monte Cristo has an intelligence apparatus that cant be beat. Well, thats the Jesuit Order.

But the Count doesnt get what he really ought to have, or his last wish, and thats the love of woman. He gains back all of his political power; he gains back everything he lost; but he doesnt have the love of a woman. And THAT is the Jesuit Order. They have no women. They have no love of a woman. Because to have a wife, to have a woman, means you have an allegiance to your wife and family, and you cannot obey the General.

Thats why they will NEVER be married, and thats one of the great KEYS to their success.


They can betray a nation and walk away. They can betray all the Irish Catholics getting on the Titanic, and walk away. They can betray us in Vietnam and walk away. They can betray us every time we go to the hospital and get radiated and cut and drugged, and walk away, because its for the greater glory of GodAd Majorem Dei Gloriam: the greater glory of the god who sits in Rome.

Ignatius Loyola was a Spanish soldier, and he was wounded at a battle between the French and the Spanish, and his leg was shattered. Well, the French General, because Loyola was very brave in conflict, ordered his own doctors to attend Loyola. So they set the leg and sent him back to his homewhich, of course, he was royalty to the Counsel of Loyola in Spain, in the area of the Basques.

Loyola, through his series of desiring to regain his legit had healed improperly, so he made a rack where he would stretch the leg, with severe, horrible, awful painand trying to stretch this leg to get it back to normal shape, he endured awful, terrible pain. He had it rebroken, again, a couple of times and it still did not heal properly, so he had a perpetual limp. He could no longer be the courtier among women, and as a result, he went into this depression, and he then had this vision of the saints, etc., etc., and he wrote his spiritual exercises.

I will stop at the spiritual exercises, just for a minute, but Ill take up from there. Loyola then wanted to form an army, but when this happened with his spiritual exercises, those spiritual exercises would be basic training for all of his Jesuits. Thats what they will ALL go through. Thats what every Jesuit goes through today.

One of the maxims of the spiritual exercises is that if my superior says black is white and white is black, then thats the way it is. That is in his spiritual exercises. That is what is quoted in JFK, when Kevin Costner is telling his people: Hey, people, weve got to start thinking like the CIA. Black is white and white is black. That was a Jesuit giveaway that the Jesuits produced that movie, because theyre quoting Ignatius Loyola in that movie from his spiritual exercises.

So, Loyola had an indomitable will. He had a will of steel, and he set his mind to regain back what the Papacy had lost to the Reformation. And so, he went to the Pope, and the Pope in 1540 then created the Jesuit Order. But this man is a soldier, hes a lawyer, and he put together a legion of soldiers and warriors to get back what Rome had lost, as well as institute a World Government for the Pope, from Jerusalem. This was in 1540.

He started the Order in 1536. He was arrested by the Inquisition, and he was released, and he went to the Pope; he threw himself at the feet of the Pope. He would be completely at his service. The Pope chartered him, and that Pope was Pius III. The Pope chartered them, created the Jesuit Order; now he has Papal protection, and they began their awful history of deeds of blood. And war after war after war after war, theyre all attributed to the Jesuit Order in some way. Catholic nobles, with lots of money, donated castles and schools and money to the Jesuit Order.

Virtually everything they own has been given to them or stolen by them. Of course, they stole all of the fortunes of the Jews in World War II. They stole all their gold, all their assets and everything, whenever they went into a country. Whats just been released is NOTHING compared to what theyve taken.

In Edmond Pariss book, printed by Ozark Publications, called The Vatican Against Europe, it gets into great detail of what they did. It calls itthe last 30 years of war is all attributable to the Jesuits, their massacres of the Serbs and Jews, etc. But Edmond Paris did not understand that the Jesuit Generaland this is one of the most important points I want to make about Von Kolvenbachthe Jesuit General is in complete control of the international intelligence community: thats the CIA, the FBI, the KGB, the Israeli Mossad, the German BND, the British SIS. The Jesuit General is in COMPLETE CONTROL of the entire intelligence apparatusFBI, every bureaucratic agency in this country, all of it; he is in complete control of it.

So, whenever he wants to find something out about an individual, they put in the Social Security number, and everything from all of the intelligence apparatus kicks-in and he and his provincials can review everything about that man. Credit cards, you name it, everything thats attached to Romes social security number, which FDR put upon us in 1933 with the help of Spellman; at the time, I believe he was Archbishop, or maybe it was Cardinal Hayesbut Rome was behind FDR in putting him in office.

The couple of things that he did was implement social insecurity, the income tax, and recognizing Joseph Stalins bloody Jesuit USSR government. So, with the giving of us the Social Security number, that is Romes numberthats why I refuse to use itand thats why they want everybody using it for everything: drivers license, tax return, credit card, everything you do, that number is you and that number is Romes number.

Let me just back-up here for a minute. What comes to mind is Louis Freeh, head of the FBI?
( Roman Catholic, good altar boy. Probably a Knight of Columbus; I cant prove it. But anybody with that kind of power has got to be a Knight of Columbus. )

And the Knights of Columbus implement Jesuit politics. And Louis Freeh was the one behind the Waco atrocity and the Oklahoma City bombing atrocity. And his top sniper was a Japanese Roman Catholic named Lon Horiuchi.

So, its Roman Catholics in control, Knights in control of the FBI, who carried out all of this killing. And those two men, Louis Freeh and Lon Horiuchi are personally accountable to Cardinal OConnorof New York. And Cardinal OConnor of New York is the most powerful Cardinal in the country.

He is the military vicar. And thats why Bush kissed his fanny for going to Bob Jones, because Cardinal OConnoris the King of the American Empire. And he rules his Empire from that Palace, St. Patricks Cathedral, the little Vatican.
 
mchakachaka,
Mungu kama kamtumia shetani kunitetea mimi nitamshukuru Mungu.
Kama hata weye unayajua basi sio ya maana ni upuuzi tuu!
 
Mtoa mada anaonyesha kuwa ni wale wenye kueneza udini na ukabila kama magamba wanavyouhubiri....Nakushauri ndugu yangu kama haujapata elimu,ama ulipata kidogo,haujachelewa fanya mchakato sasa ili uweze kujikomboa
 
Mtoa mada ni mbabaishajiaji aliyeleweshwa na udini na Mchakamchaka ni mbabaishaji pia anayetumia machapisho ya ma-freemasons kukidhi udini wake. Hawaelewi lolote la maana juu ya wanachosema wala hawana fikra makini katika kile wanachosema.
 
Back
Top Bottom