Mbona tayari lishayumba!No HAO wameondoka wenyewe Dr mpango kama unakumbuka KIPIND cha magu afya yake HAIKUA SAWA kupona ILIKUA ni majaliwa hivo SIONI kama ana hamu na miahemishe TENA mama anajiweza atapanga WATU wapya na AMIN taifa haliwezi yumba
Maelekezo kutoka kwa Boss🤣🤣🤣Wote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa
Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
Anajikaanga kwa mafuta yake mwenyeweWote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa
Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
Anataka aongoze maandazi na mabumunda kama Lucas Mwashambwa!Wote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa
Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
NIONESHE WAPI PAMEYUMBA MKUUMbona tayari lishayumba!
MaCCM yakikanyagana ni faida kwa taifa.Wote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa
Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
Kwa mdude,kibao soka n.kNIONESHE WAPI PAMEYUMBA MKUU
ChoiceVariableWanao mshauri wanataka YY awe w mwisho kuondolewa.
Kazi ni kipimo cha utu
Huu ni mtego ambao hakuna atakayeutegua mpaka uchaguzi unapita..Wote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa
Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
Huu ni mtego ambao hakuna atakayeutegua mpaka uchaguzi unapita..Wote wameondoka kwa shinikizo kwa habari za ndani. Hawa ndiyo walikuwa viongozi wa juu kabisa
Makaumu wa Raisi Mpango
Waziri Mkuu Majaliwa
Spika Ndugai
Huo ni mtazamo wako... LAKINI za ndani na ushahidi wa kimazingira ni kuwa wameondoshwa kwenye nafasi zao.No HAO wameondoka wenyewe Dr mpango kama unakumbuka KIPIND cha magu afya yake HAIKUA SAWA kupona ILIKUA ni majaliwa hivo SIONI kama ana hamu na miahemishe TENA mama anajiweza atapanga WATU wapya na AMIN taifa haliwezi yumba
Wewe unaona nchi iko sawa hii? Basi utakuwa na ubongo wa sisimizi!NIONESHE WAPI PAMEYUMBA MKUU