Unafanya kitu kinaitwa kemba...... (sijui inaandikwaje kikoloni).......inakaa vizuri........
Ukiangalia vizuri.......karibia Rav4 zote zipo hivyo........ni kitu kidogo sana hicho na kinarekebishika.........
unafanya kitu kinaitwa kemba...... (sijui inaandikwaje kikoloni).......inakaa vizuri........
Ukiangalia vizuri.......karibia rav4 zote zipo hivyo........ni kitu kidogo sana hicho na kinarekebishika.........
Gari ni matunzo n matengenezo mimi ninatumia toka mwaka juzi napita rough road ambayo ni mbaya sana km 26 ikiwa na rasta gari haijapata matege.rav4 ni imara sana ukiona hivyo jua mwenye nayo hafanyi matengenezo
Unafanya kitu kinaitwa kemba...... (sijui inaandikwaje kikoloni).......inakaa vizuri........
Ukiangalia vizuri.......karibia Rav4 zote zipo hivyo........ni kitu kidogo sana hicho na kinarekebishika.........
Huwa unanikosha sana linapokuja suala la magari........
Akakague bushes za miguu ya nyuma zote na mbovu abadili then apeleke kwa mashine inarudi kuwa mpya