emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 543
Ni mtizamo tu,nimefuatilia kila anapohuzuria jambo lolote uwanjani huwa anava suti,sasa je ofisin suti na uwanjani suti hata kupiga Jezi ya timu ya taifa anashindwa,na Mpira alicheza kweli enzi za ujana!!!!!!!