Kwanini Rais wa nchi yoyote hutisha?!

Kwanini Rais wa nchi yoyote hutisha?!

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,198
Maana yangu ni kuwa;

Mfano,wapinzani hupiga kelele kweli kumpinga kiongozi wa nchi husika.Lkn na ajabu pindi wawapo jirani naye huweweseka na mwisho huishia kumpongeza kwa bashasha na furaha!

Wakati mwingine watu haohao wampingao huenda mbali zaidi na kumpamba kwa kila jema ilhali janaye walimponda kwa kila baya na ovu!

Kwa nini hali hiyo kutokea?!Au,wapinga kila kitu hao ni wanafiki?!
 
Wa croatia hatishi ,labda marais wenu uchwara

IMG-20180712-WA0010.jpg
 
Anatisha kwako.!! Kumbuka yeye naye anaenda choose, unatishwa na MTU anayeenda choose!!!!!
 
Maana yangu ni kuwa;

Mfano,wapinzani hupiga kelele kweli kumpinga kiongozi wa nchi husika.Lkn na ajabu pindi wawapo jirani naye huweweseka na mwisho huishia kumpongeza kwa bashasha na furaha!

Wakati mwingine watu haohao wampingao huenda mbali zaidi na kumpamba kwa kila jema ilhali janaye walimponda kwa kila baya na ovu!

Kwa nini hali hiyo kutokea?!Au,wapinga kila kitu hao ni wanafiki?!
RAIS NI NATIONAL ICON, PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE ANAKUWA NA HESHIMA YA KIPEKEE
 
Maana yangu ni kuwa;

Mfano,wapinzani hupiga kelele kweli kumpinga kiongozi wa nchi husika.Lkn na ajabu pindi wawapo jirani naye huweweseka na mwisho huishia kumpongeza kwa bashasha na furaha!

Wanaotisha ni maraisi wa nchi zinazoendelea, na wanatisha kwa sababu wana vyombo vya wasiojulikana wanaweza kukupotezea.

Kwa nchi zilizoendelea raisi kitu gani bwana.
 
Mwisho wa siku wakishamaliza kutisha wanaenda wapi? Mbinguni,au tunaenda kutundika maturubai?. Ubatili,mambo yote ni ubatili mtupu.
 
Wa croatia hatishi ,labda marais wenu uchwara
img-20180712-wa0010-jpg.807781



Kama huyu ni Rais basi hawezi kumtisha mwanamme yoyote......!!
Bila ya shaka yoyote huyu kachaguliwa kwa sifa za ULIMBWENDE na siyo UONGOZI!!!
 
Rais hatishi isipokuwa kinachotisha ni mamlaka alionayo/aliyokabidhiwa.
 
Awe anatembea na mwandishi wa TBC mfukoni kwake, anafoka foka kila wakati, anatukana wateule wake, anatukana wanawake, anagawa pesa kwa wanaomwabudu na mapapai. Na anaagiza watu wapigwe risasi
Na atishe kuwapiga mashangazi za watu.. Yaani unafanya kosa wewe shangazi yako tena alieko kijijini anaenda kushushiwa kipondo cha mbwa koko
 
Back
Top Bottom