uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,703
- 37,931
Kama tunataka au hatutaki Mh, Dr, na Rais Magufuli ndiye rais wa Tanzania. Maamuzi yake yana athiri kila mtu, anayeishi Tanzania, Awe Mkristo, Muislam, dini yeyote hata asiye na dini. Anachoamua kima mazara kwa kila mtu.
Based kwa kanuni za ki kristo, haijalishi una mtazamo gani kumhusu, ni Lazima umuombee, zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana, hizi changamoto will soon or later have effects in our lives.
TUJITAHIDI SANA SANA KUMUOMBEA RAIS WETU NA MUNGU AMSAIDIE AENDELEE KUWA NA HEKIMA KUFANYA MAAMUZI YATAKAYOTUSAIDIA. TUKIACHA KUMUOMBEA HATUMKOMOI, TUNAJIKOMOA WOTE.
Based kwa kanuni za ki kristo, haijalishi una mtazamo gani kumhusu, ni Lazima umuombee, zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana, hizi changamoto will soon or later have effects in our lives.
TUJITAHIDI SANA SANA KUMUOMBEA RAIS WETU NA MUNGU AMSAIDIE AENDELEE KUWA NA HEKIMA KUFANYA MAAMUZI YATAKAYOTUSAIDIA. TUKIACHA KUMUOMBEA HATUMKOMOI, TUNAJIKOMOA WOTE.