Akienda huko kufanya hizo ziara atawaambia nini Wazanzibari? Ameamua kwa utashi wake kuwadhulumu watumishi wa umma wa Tanganyika haki zao za msingi ili ajenge Standard gauge? ajenge daraja la Salender? anunue bombardier? Watamuelewa?
Maana wao wanachohitaji zaidi ni nchi yao kutambulika kimataifa kama nchi kamili badala ya kuwa koloni la Tanganyika.
Nadhani Kanda ya ziwa ataeleweka zaidi hasa anapochanganya na ile lugha yake ya asili.