Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Atakuja ila tutamshangaza sana kwenye sanduku..wahaya bado tunayakumbuka makejeli yake wakati wa tukio la tetemekoHivi atakwenda kuomba kura kwa wahaya kweli? Akienda kule atakuwa kituko!!
Atakuja ila tutamshangaza sana kwenye sanduku..wahaya bado tunayakumbuka makejeli yake wakati wa tukio la tetemekoHivi atakwenda kuomba kura kwa wahaya kweli? Akienda kule atakuwa kituko!!
Kura zake zipo nyingi sana subiri October 28Hivi atakwenda kuomba kura kwa wahaya kweli? Akienda kule atakuwa kituko!!
Kura zake zipo nyingi sana subiri October 28
Iweke tuu kama kumbukumbu! Baada ya uchaguzi utaniambia kura za magufuli ngapi mkoa wa kagera.Wewe sio Muhaya otherwise kama ni Muhaya you are sarcastic!!! Wahaya including the retiring mama mboga definitely have an axe to grind with JIWE!!
Buberwa Kaiza na Prince Bagenda ndio wanaandika makala za kichochezi dhidi ya Jamhuri ya Muungano na wanataka wahaya waichukie Jamhuri,Atakuja ila tutamshangaza sana kwenye sanduku..wahaya bado tunayakumbuka makejeli yake wakati wa tukio la tetemeko
Mbona Chadema hawaanzishi nyuziMbona migawanyiko tunaishuhufia kote kote vyama vyote? Hata freeman zito wote wanaandikwa vibaya hata ndan ya chama
sasa hawa ni CCM 2 tu waliomgeuka jamaa unaowajua.Hawa watu walikuwa wapiga debe wakubwa wa JPM 2015, waliandika makala za kumsifu na kumjenga kisiasa.
Lakini naona siku za karibuni wameanza kuonyesha upinzani mkubwa sana kwa Rais wetu mpendwa.
Buberwa Kaiza katika kurasa zake za mitandao ya kijamii, anafanya ukosoaji mkubwa japo anajaribu kujifichaficha
Prince Bagenda yeye alifikia kutunga kitabu,japo kabla hajakiachia, vyombo vyetu pendwa vya usalama vikampa angalizo
Je, watu hawa wana uroho wa madaraka walidhani kwa kuandika vipeperushi tu wangepata uteuzi? Watanzania tumekuwaje? Kila kitu ukifanya mpaka upate kitu?
Viva JPM
#matege
Una uhakika? Mimi mbona nimezilamba hizi!!Tulitengeneza kakikundi ka kizushi tukalamba 1.5m tena kwa kufuata utaratibu!!Hahaaa
,hakika kabisa,watu wamesubiri milioni 50 kila kijiji....wameachwa kwenye mataa
Nawaheshimu sana sana na britanicca na wengine pia, kwahio naelewa mnachosema, Mungu awabariki sanaTulikosea sana ndugu yangu. Mie hadi kuna kipindi niliamua kukaa kimya maana tulishauri sana mwishoni tukaonekana wapuuzi
Nadhani ni zile hekima tu za kiutu uzima za kuamua kukabiliana na mambo.Lakin hiz habar zipo sana.Mbona Chadema hawaanzishi nyuzi