NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,463
- 17,291
Chumvi ikiharibika!ifanywe nini hadi ikolee???Alihoji mwenye hekima mmoja hv miaka mingi imepita!!!!!!!
walidhani wana nadi dhahabu wakagungua kumbe ni foolgoldHawa watu walikuwa wapiga debe wakubwa wa JPM 2015, waliandika makala za kumsifu na kumjenga kisiasa.
Lakini naona siku za karibuni wameanza kuonyesha upinzani mkubwa sana kwa Rais wetu mpendwa.
Buberwa Kaiza katika kurasa zake za mitandao ya kijamii, anafanya ukosoaji mkubwa japo anajaribu kujifichaficha
Prince Bagenda yeye alifikia kutunga kitabu,japo kabla hajakiachia, vyombo vyetu pendwa vya usalama vikampa angalizo
Je watu hawa wana uroho wa madaraka walidhani kwa kuandika vipeperushi tu wangepata uteuzi? Watanzania tumekuwaje? Kila kitu ukifanya mpaka upate kitu?
Viva JPM
#matege
labda ujitoe ufahamu kama musiba.maana kusfisha mikojo ya mtu mzima yataka moyoKila Mwenye akili timamu aliyekuwa anamsaport Magufuli hawezi endelea Kumsaport wakati huu
kupiga picha na kutoa rushwa kanisani na sio ndo kumcha MunguSiku zote huwa anajifanya mcha MUNGU kumbe ni mtu mbaya sana
Hahaaa
,hakika kabisa,watu wamesubiri milioni 50 kila kijiji....wameachwa kwenye mataa
true hapo ndipo alipowagilibia watz,wengine tulitahadharisha mapema,hio sio dhahabu bali ni foolish gold but rangi halisi mmeona kila mtu,Watu walikuwa hawajamuelewa hapo mwanzoni ,walikuwa wanadanganywa kwamba ni mchapa kazi kwasababu amekariri idadi ya samaki,ng'ombe,mbuzi ,kuku na kilometer za barabara .
Katika kipindi chake cha uwaziri alipiga dili nyingi sana za kukupunguza upana wa barabara na kupiga cha juu ,kanunua meli bovu kwa 8B .
Ni mtu wa visasi sana ,alitaka kubomoa jengo la lowassa la tanesco kwa kisirani tu kumkomoa lowassa na alipoingia akaanza nalo amelibomoa lakini barabara yake na daraja wala haijafika hata kama jengo lisingebomolewa,alimfunga Lema wa Northern Engineering kisa tu alitoa mpunga kwenye kampeni ya Ukawa.
Hawakujua Hawakujua.........
ilitakiwa abakie kwenye kuhesabu vifaranga vya samaki na kilometa za barabara kule ndo angefaa huku viatu vikubwaAnachuki sana na visasi hafai kuwa kiongozi hata kidogo
Sawa liwe la lowasa, au sio kulikuwa na umuhimu gani wa kulivunja wakati hata ujenzi haukufika huko? Hata ofisi za idara ya maji nako vile?!!Kwa levo yako hutakiwi kabisa kuongea hear say kama hiyo ya jengo la Lowasa la TANESCO..
Uzushi mtupu
...kisa nini? Au hasira za kukosa teuzi?...😥Kila Mwenye akili timamu aliyekuwa anamsaport Magufuli hawezi endelea Kumsaport wakati huu
Balaa tupukupiga picha na kutoa rushwa kanisani na sio ndo kumcha Mungu
Wamegawanyika kwa sababu hawajumlishiki na watakaomhujumu ni wale ambao kutoka wanashindwa kwa sababu ''atanionaje''chinembe ni kwanini Mtukufu Rais anasemwa na kuandikwa vibaya? Ni kwanini ndani ya chama chake pia watu wamegawanyika?
Mbona mimi Mhaya na ninamkubali sana JPM? Hao wazee wanamchukia kwasababu walishindwa kujipanga ujanani wakafikiri JPM atawaokoa uzeeni. Visasi vyao visijumuishe Wahaya wote.Mataga hapendwi na Wahaya wote kisa hela za Tetemeko
Sikuwahi kufikiria Kama una uwezo mdogo sana wa kufikiria Mambo kiasi Cha kuleta habari za kwenye kahawaNi mtu wa visasi sana ,alitaka kubomoa jengo la lowassa la tanesco kwa kisirani tu