@K kwa estimation za sasa waliojiajiri kwenye kilimo ni 70% na wanaoishi vijijini ni asilimia 80%.Wewe unatakiwa kujiajiri kwenye processing kwakuwa wakulima wanauza raw products sasa unalia nini
Watumishi wanapolalamika kuwa mshahara umechelewa haina maana kuwa hawana fedha ya kula. Mshahara wa mtumishi ni haki yake ya msingi whether ana fedha nyingi au la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.