Kwanini pesa za siasa chaguzi zinapatikana lakini mishahara ya watumishi haipatikani?
Yah ni painful kuona watumish wa umma wanateswa na wanasiasa wachache. Mfano nasikia huko chuo kikuu cha dodoma hawajapata mshahara hadi leo na hawajui ni lini watapata. Kumbuka hawa ni academicians waliojitolea kusoma elimu za juu zaidi.
This might b a sign of failure of state.
Kwanini pesa za siasa chaguzi zinapatikana lakini mishahara ya watumishi haipatikani?
Si mjiajiri kazi kulia tu
Kwanza wanalipwa marehemu na walioacha kazi......kisha ndiyo wanalipwa waliopo kaziniKwanini pesa za siasa chaguzi zinapatikana lakini mishahara ya watumishi haipatikani?
Wote tukijiajiri.... nani atafanya kazi za huduma kwa umma?Si mjiajiri kazi kulia tu
Si mjiajiri kazi kulia tu