epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
Ni wanafunzi hawa hawa ambao tunawategemea sana wawe ndio wahandisi na wavumbuzi mahiri ambao wangeweza "kusaidia" taifa katika karne hii ya uvumbuzi (invention and innovation era). Kwanini sio Electrical Engineering, Telecomm, Computer Science, Civil Engineering?
Ndo kitu gani hicho mkuu?Fuculty of engineeringfoe iliharibiwa na prof ninatubu mathias lema, na kundi lake
Uhamasishaji unahitajika. Kwani mbona opportunity zipo nyingi kwenye Engineering and Technology? Tusipende vya chapchap.
Fuculty of engineeringfoe iliharibiwa na prof ninatubu mathias lema, na kundi lake
Katika miaka ya karibuni, imekuwa "fashion" kwa wanafunzi waliosoma PCM form 6 kujiunga na vyuo vya biashara, yaani, kusoma B.Comm na BAF (Bachelor of Accounting and Finance). Utakuta hata wale waliopasua form 6 kwa kupata Div I kali (chini ya 6 pts) wanaenda kusoma hayo masomo. Hoja hapa si kuwa masomo haya ni mabaya (au rahisi) bali ni kuuliza, nini chanzo kunichowafanya wachague field hii?
Ni wanafunzi hawa hawa ambao tunawategemea sana wawe ndio wahandisi na wavumbuzi mahiri ambao wangeweza "kusaidia" taifa katika karne hii ya uvumbuzi (invention and innovation era). Kwanini sio Electrical Engineering, Telecomm, Computer Science, Civil Engineering?
Huu mwenendo utafika saturation point karibuni tu na wengi wataanza kusoma engineering na technology