Kwanini paliitwa 'Kariakoo'?

Kwanini paliitwa 'Kariakoo'?

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,290
Reaction score
2,822
Mala nyingi majina ya miji au mitaa uitwa majina ya watu mashuhuri wa kitaifa au kimataifa, ua kutokana na matukio yliyokuwa yanatokea sehemu husika. Naomba mwenye kujua jina Kariakoo lilitokana na nini anijulishe tafadhali.
 
Baada ya vita kuu ya dunia ya 2 Askari wa ki afrika waliorudi kutoka vitani waligawia Hilo eneo na pakaitwa carrier cops. Waswahili wakawa wanatamka kariakoo.
 
Baada ya vita kuu ya dunia ya 2 Askari wa ki afrika waliorudi kutoka vitani waligawia Hilo eneo na pakaitwa carrier cops. Waswahili wakawa wanatamka kariakoo.

Thanks mkuu. Nilisikia ni carrier cops ila hilo la askari sikuwa nimelijua.
 
Ilikuwa ni enzi ya mkoloni ambapo ilikuwa kama mtu kazembea kazi mnyampara anaamuriwa amkalie koo na kumpa kipigo..! Kalia koo, kalia koo..! Wabongo wakapabatiza kariakoo..!
 
Ilikuwa ni enzi ya mkoloni ambapo ilikuwa kama mtu kazembea kazi mnyampara anaamuriwa amkalie koo na kumpa kipigo..! Kalia koo, kalia koo..! Wabongo wakapabatiza kariakoo..!

Jomba we mkali aisee
 
yah kuna hiyo ya carrier cops-ikawa kariakoo
what kind of rock-- ikawa kindoroko
long journey -- ikawa longijave
check line ---- chekereni
zipo nyingi sana yaani unaweza cheka ukawa huna mbavu
 
Baada ya vita kuu ya dunia ya 2 Askari wa ki afrika waliorudi kutoka vitani waligawia Hilo eneo na pakaitwa carrier cops. Waswahili wakawa wanatamka kariakoo.

Nimekupata mkuu, asante.
 
Msasani - musa hassan,
chekereni - check train
dodoma - idodomya....
 
Sasa tumuamini nani?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Acha kamba bwana
Ilikuwa ni enzi ya mkoloni ambapo ilikuwa kama mtu kazembea kazi mnyampara anaamuriwa amkalie koo na kumpa kipigo..! Kalia koo, kalia koo..! Wabongo wakapabatiza kariakoo..!
 
Back
Top Bottom