- Thread starter
- #101
hili la Mpemba tayari lilikuwa lishatolewa ripoti na polisi kwamba anatafutwa kwa kusambaza dvd . hayo mengine hayana nafasi ya kuyajidili mimiBy adolay
1. Thibitisha kauli kali za askofu ni zipi................
2. Thibitisha kwamba alisema wachinje watu na si wajichinje wanyama na wale wenyewe
3. Thibitisha kwamba mtu akichinja kuku wake nyumbani na kumla mwenyewe nikinyume na katiba ya nchi
Maswali yote kulingana na hoja yako huna majibu, badala yake wewe ndiye mchochezi maana watanzania waislam
kwa wakristo wanafahamiana nakuishi pamoja kwa karne zote hapa Tanzania isipokuwa kunapokuwa na vichwa vibovu kama chako.
-Wengine wamelalama katika uzi wa mohamedi said kwamba Tanga waislamu wanaonewa na kudharirishwa na
serikali kwa kisingizio cha ugaidi. Lakini ni serikali hii hii imeuwa Arusha, Imeuwawa Daudi Mwangosi, ameteswa
Ulimboka, ameteswa lwakatare nk Je hawa nao wanateswa kwa ukristo wao? Imekamata na kumtia ndani Ponda na
mtwara wameteswa na kunyanyasika kwa kudai haki zao. serikali ni ilele je haya yote yanafanyika kwa mujibu wa
itikadi na dini za watu?
Ndugu acha uchochezi wa kiimani na kutaka kufarakanisha watanzania kwa ujinga wa mawazo mgando.