Nimekaa na kujiuliza mara tatu nne kwanini Julius Kambarage Nyerere hakuwa na heshima ya udaktari aidha yakupewa au yakusoma darasani.hapohapo nikaanza kujijibu labda ilikua ni upungufu wa vyuo vilivyopo wakati ule,au ilikua si rahisi kupata hiyo heshima kama karama au zawadi au kwakuhonga ama kwakulazimisha,hapohapo najiuliza hivi haiwezekani akapewa hiyo heshima leo hii akiwa hayati??kwani kwa mazuri aliyofanya ni mengi kuliko mabaya aliyofanya na wala huwezi kmlinganisha na hawa waliopo,kama udokta ni kauli au busara za mwalimu zinadumu zitadumu nakudumu. ni mtazamo tu jamani na uelewa wangu mdogo katika hoja nzima.