Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

massai

JF-Expert Member
May 2, 2011
653
137
Nimekaa na kujiuliza mara tatu nne kwanini Julius Kambarage Nyerere hakuwa na heshima ya udaktari aidha yakupewa au yakusoma darasani.hapohapo nikaanza kujijibu labda ilikua ni upungufu wa vyuo vilivyopo wakati ule,au ilikua si rahisi kupata hiyo heshima kama karama au zawadi au kwakuhonga ama kwakulazimisha,hapohapo najiuliza hivi haiwezekani akapewa hiyo heshima leo hii akiwa hayati??kwani kwa mazuri aliyofanya ni mengi kuliko mabaya aliyofanya na wala huwezi kmlinganisha na hawa waliopo,kama udokta ni kauli au busara za mwalimu zinadumu zitadumu nakudumu. ni mtazamo tu jamani na uelewa wangu mdogo katika hoja nzima.
 
[h=2]About Nyerere[/h][h=2]Honoraries and Award[/h]
As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.

[h=3]Honorary Degrees and Awards[/h]
He received honorary degrees from the following:
1. University of Edinburgh (United Kingdom)

2. University of Dugueshe (United States of America)

3. Cairo University (Egypt)

4. University of Nsukka (Nigeria)

5. University of Ibadan (Nigeria)

6. University of Monrovia (Liberia)

7. Toronto University (Canada)

8. Havard University (United States of America)

9. Howard University (United States of America)

10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)

11. Pyongyang University (Korea) - Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)

12. National University of Lesotho (Lesotho)

13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)

14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)

15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)

16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)

17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)

18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)

19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)

20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)

21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)

22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)

23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)

[h=3]Awards / Prices[/h]
1. Yogoslavia - Memorial Plaque of the City of Belgrade (15th October 1969)

2. Guyana - Freedom of the City of Georgetown (11th September 1974)

3. Havana, Cuba - Order of Jose Marti (21st September 1974)

4. Mexico - The Great Collar of the Aztec Eagle (24th April 1975)

5. India - Nehru Award for International Understanding (17th January 1976)

6. Guinea Bissau - Medal of Amilcar Cabral (19th September 1976)

7. Brussels - The Dag Hammarskjold Price for Universal Merit

8. New Delhi, India - Third World Prize (22nd February 1982)

9. Maputo, Mozambique - Eduardo Mondlane Medal (7th September 1983)

10. Geneva - Nansen Medal for Services to the Cause of Refugees (3rd October 1983).

11. Luanda, Angola - Order of Augstino Neto Award (3rd October 1985)

12. Luanda Angola - SADCC Sir Seretse Khama Medal (21 August 1986)

13. Dodoma, Tanzania - Lenin Peace Prize (7th September 1987)

14. Dodoma, Tanzania - Juliot Curie Gold Medal (February 1988)

15. Paris, France - UNESCO Simon Boliver Prize (21st October 1992)

16. Arusha, Tanzania - TANAPA / Gold Medal of Outstanding on Wildlife and Environmental Conservation (21st February 1994)

17. New, Delhi, India - Gandhi Peace Prize (27th January 1995)

18. Abujua, Nigeria - Nnandi Azikiwe Award (10th March 1996)

19. Harvard University - World Map Globe (28th December 1999)

20. CCM, Tanzania - The Century Statesman (2000)

Source:Mwalimu Nyerere Foundation
 
Kapata nyingi tu mkuu,sema yule mzee hakuwa mtu wa sifa kama hawa vimeo wa siku hizi,alitaka aonekane kama mwalimu tu.

Nimekaa na kujiuliza mara tatu nne kwanini Julius Kambarage Nyerere hakuwa na heshima ya udaktari aidha yakupewa au yakusoma darasani.hapohapo nikaanza kujijibu labda ilikua ni upungufu wa vyuo vilivyopo wakati ule,au ilikua si rahisi kupata hiyo heshima kama karama au zawadi au kwakuhonga ama kwakulazimisha,hapohapo najiuliza hivi haiwezekani akapewa hiyo heshima leo hii akiwa hayati??kwani kwa mazuri aliyofanya ni mengi kuliko mabaya aliyofanya na wala huwezi kmlinganisha na hawa waliopo,kama udokta ni kauli au busara za mwalimu zinadumu zitadumu nakudumu. ni mtazamo tu jamani na uelewa wangu mdogo katika hoja nzima.
 
Nimesoma hizo shahada za heshima za Nyerere hadi nimechoka.
 
About Nyerere

Honoraries and Award


As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.

Honorary Degrees and Awards


He received honorary degrees from the following:


13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)


Source:Mwalimu Nyerere Foundation

Mkuu, pamekaaje hapo?
 
about nyerere

honoraries and award


as a result of his good work, different institutions and universities honored mwalimu nyerere to mark his contributions to tanzania, africa, developing countries and the entire world.

honorary degrees and awards


he received honorary degrees from the following:
1. University of edinburgh (united kingdom)

2. University of dugueshe (united states of america)

3. Cairo university (egypt)

4. University of nsukka (nigeria)

5. University of ibadan (nigeria)

6. University of monrovia (liberia)

7. Toronto university (canada)

8. Havard university (united states of america)

9. Howard university (united states of america)

10. Ljubliana (yugoslavia) - honorary doctoral of law (26 march 1985)

11. Pyongyang university (korea) - honorary doctorate of philosophy (28th march 1985)

12. National university of lesotho (lesotho)

13. The state house dar es salaam (tanzania) - honorary degree for diplomacy (20th sept, 1985)

14. Havana university of cuba (cuba) - honorary degree of doctor of philosophy (30th sept 1985)

15. University of dar es salaam (tanzania) - honorary degree of literature honoris causa (13th sept 1986)

16. Universities of philippines (philippines) - honorary doctorate of humanities (12th july 1991)

17. Manila (philippines) - honorary doctor degree (12th october 1992)

18. Makerere university kampala (uganda) - honorary doctor of laws (29th january 1993)

19. Open university of tanzania (tanzania) - doctor of letters honoris causa (15th march 1997)

20. Claremont university centre (united states of america) - doctor of laws for claremont graduate school california (17th may 1997)

21. Sokoine university of agriculture (tanzania) - doctor of philosophy honoris causa (28th november 1997)

22. University of fort hare (south africa) - doctor of laws honoris causa (23rd april 1998)

23. Lincoln university (united states of america) - honorary degree of laws (5th may 1998)

awards / prices


1. Yogoslavia - memorial plaque of the city of belgrade (15th october 1969)

2. Guyana - freedom of the city of georgetown (11th september 1974)

3. Havana, cuba - order of jose marti (21st september 1974)

4. Mexico - the great collar of the aztec eagle (24th april 1975)

5. India - nehru award for international understanding (17th january 1976)

6. Guinea bissau - medal of amilcar cabral (19th september 1976)

7. Brussels - the dag hammarskjold price for universal merit

8. New delhi, india - third world prize (22nd february 1982)

9. Maputo, mozambique - eduardo mondlane medal (7th september 1983)

10. Geneva - nansen medal for services to the cause of refugees (3rd october 1983).

11. Luanda, angola - order of augstino neto award (3rd october 1985)

12. Luanda angola - sadcc sir seretse khama medal (21 august 1986)

13. Dodoma, tanzania - lenin peace prize (7th september 1987)

14. Dodoma, tanzania - juliot curie gold medal (february 1988)

15. Paris, france - unesco simon boliver prize (21st october 1992)

16. Arusha, tanzania - tanapa / gold medal of outstanding on wildlife and environmental conservation (21st february 1994)

17. New, delhi, india - gandhi peace prize (27th january 1995)

18. Abujua, nigeria - nnandi azikiwe award (10th march 1996)

19. Harvard university - world map globe (28th december 1999)

20. Ccm, tanzania - the century statesman (2000)

source:mwalimu nyerere foundation

hii nchi bwana ina mijitu ya ajabu sana!!!unakuta jitu linaanzisha thread kumponda nyerere!ok pengine alikuwa na mapungufu yake!!!lakini yeye na waliomfuata yupi alionyesha njia?dr kikwete!dr mkapa!!!!!na pengina alhaj dr mwinyi?mtakufa na vichwa ovyo ambavyohavijatumika!!!!kuweni wastaarabu!nyerere was ana still a great person who tanzania and africa in general has ever have!!!!!!
 
Ni mara chache sana kuona wanamtambulisha kama Dr 10-8-2008 1-11-57 PM_0120.jpg
 
Nashukuru kwa ufahamisho wakuu,sikuwa na data hizo kabla much thanks to all replies ,asanteni sana.
 
kwa Nyerere ni sawa kabisa, ukiangalia maisha ya watu walivyokuwa wanaishi zamani na mambo yalivyoendeshwa utaona kabisa alistahili kupewa kubwa, hotuba zake nyingi imekuwa shule kwetu hadi hivi leo, katika hawa wote wa sasa nani katuonesha njia kama kiongozi wa nchi na chama katika hali ya nidhamu kabisa?
 
Sasa hivi kuitwa Dr. Imekuwa sifa kuliko hata kuitwa Proffessor. Ndo maana kina flani wanapenda kuitwa kina Dr...li.....mi kuliko hata kina Prof.......
 
Back
Top Bottom