Kwanini nikiweka laini ya halotel simu inakua slow?

2in1

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
211
79
Wakuu ni hivi,natumia tecno w4 ambayo niliweka laini ya Halotel na tigo.Simu hii ilikua na kawaida kwamba nikiwasha data inastack sana,niliwahi kulileta humu tatizo hilo ila sikupata solution! Juzi tu hapo nilitoa laini ya halotel (ya Chuo) nikaona hali ya simu imebadilika yani imekua inarun vizuri tu,je ni kitu gani kinachosababisha hiyo lain iwe hivyo?
 
Back
Top Bottom