Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,859
Nimejiuliza ni kwa nini watu wa kaskazini, hususani Wachagga hupenda kwenda kusherekea krismas kwao? Lakini ukitizama makabila mengine hayana utamaduni huo. Pale Ubungo ukienda huwezi kuta ulanguzi wa tiketi kwa gari za Dodoma, Moro n.k.
Hii ikimanisha wazi watu wa pande hizo hawaendi kwao kwa sikukuu. Ni ipi sababu kubwa inayopelekea Mchagga kufanya hivyo? Makabila mengine hayana ndugu, wazazi na jamaa huko watokako?
Ebu tutafakari hili!
Hii ikimanisha wazi watu wa pande hizo hawaendi kwao kwa sikukuu. Ni ipi sababu kubwa inayopelekea Mchagga kufanya hivyo? Makabila mengine hayana ndugu, wazazi na jamaa huko watokako?
Ebu tutafakari hili!