Habari wataalam! ni sayansi gani inafanyika mpaka ukiwa hata na demu mmoja tu basi utavutia wengine hatakama ni first time mnaonana nao utawadaka fasta ila uwe singo sasa hata uwe hb vip hupat demu fasta hivyo WHY
nimewahi kuskia hicho kitu, hiv kinaukweli wowote? kuna kipind mpaka washkaj wakasema nna dawa mana ukimwangalia tu demu kaja tayari wakat nlipokua alone haikua hivyoUjue kile kitendo cha kudinyana kimsingi kinakuwa kama kinakuweka ktk hali ya kunukia flani hivi kwahiyo inakuwa kama chambo kwenye ndoano vile
Chunguza utagundua wanaume wanaombatombato saaana huwa ni rahisi sana kumtongoza na kumpata mwanamke kuliko wale wagwadu saaaananimewahi kuskia hicho kitu, hiv kinaukweli wowote? kuna kipind mpaka washkaj wakasema nna dawa mana ukimwangalia tu demu kaja tayari wakat nlipokua alone haikua hivyo
nimewahi kuskia hicho kitu, hiv kinaukweli wowote? kuna kipind mpaka washkaj wakasema nna dawa mana ukimwangalia tu demu kaja tayari wakat nlipokua alone haikua hivyo
HahahahahaaaaaaaaMaandiko yanasema: ''Mwenye nacho ataongezewa''.
Akili kumkichwa.
-Kaveli-
HUNA HELA...FULLSTOPHabari wataalam! ni sayansi gani inafanyika mpaka ukiwa hata na demu mmoja tu basi utavutia wengine hatakama ni first time mnaonana nao utawadaka fasta ila uwe singo sasa hata uwe hb vip hupat demu fasta hivyo WHY
Nafikiri unakuwa desperate sana. Hata attitude yako inakuwa ni ya kukataliwa tuu
Sent using Jamii Foru
Kama nmekuelewa hivi!Kuwa single ni indicator kuwa you're not ready to take care others
Sent using Jamii Forums mobile app