chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Ni bara pekee tu ambalo ni Afrika, kama kichwa cha habari hapo juu.
• Kwa nini huwa vina kwama au kufa mfano mmiliki akifa tu ndo kila kitu kimekufa mifano hipo mingi.
• Kwa nini biashara za waafrika zina kuwa na umimi wewe ndio mwanzo na mwisho.
• Kwa nini miradi au biashara inaanza kuwa na wanatamaa, mandugu, kukosa uongozi.
Ni mengi tu
Je, hawa wenzetu wahindi, wazungu wanafanyeje mpaka leo unasikia kampuni hipo, biashara hipo, mashamba yapo na n.k
Maana kuna kampuni mmoja inapoelekea ndio kushindwa
• Kwa nini huwa vina kwama au kufa mfano mmiliki akifa tu ndo kila kitu kimekufa mifano hipo mingi.
• Kwa nini biashara za waafrika zina kuwa na umimi wewe ndio mwanzo na mwisho.
• Kwa nini miradi au biashara inaanza kuwa na wanatamaa, mandugu, kukosa uongozi.
Ni mengi tu
Je, hawa wenzetu wahindi, wazungu wanafanyeje mpaka leo unasikia kampuni hipo, biashara hipo, mashamba yapo na n.k
Maana kuna kampuni mmoja inapoelekea ndio kushindwa