Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Anachofanya ni kujaribu kutuaminisha kua wao wako perfect for 100%. Sasa nawaza ni bunge hili hili la kina Lusinde ndo liwe perfect kwa hata 50% kweli??Nakumbuka prof Assad alisema bunge lina udhaifu hasa katika kuisimamia serikali kwa sababu alitoa mapendekezo na hayakufanyiwa kazi lakini hakuna sehemu aliposema bunge ni dhaifu zaidi ya udhaifu wa bunge.
Sasa Ndugai anaposema bunge dhaifu kalitoa wapi?
Mtarudia sana nyuzi,huu mkote hauhitaji papara mlizonazo,upo kiustadi zaidiNakumbuka prof Assad alisema bunge lina udhaifu hasa katika kuisimamia serikali kwa sababu alitoa mapendekezo na hayakufanyiwa kazi lakini hakuna sehemu aliposema bunge ni dhaifu zaidi ya udhaifu wa bunge.
Sasa Ndugai anaposema bunge dhaifu kalitoa wapi?
Tatizo ndungai haelewi katibaNakumbuka prof Assad alisema bunge lina udhaifu hasa katika kuisimamia serikali kwa sababu alitoa mapendekezo na hayakufanyiwa kazi lakini hakuna sehemu aliposema bunge ni dhaifu zaidi ya udhaifu wa bunge.
Sasa Ndugai anaposema bunge dhaifu kalitoa wapi?
Hata Mara milioni,mpaka kielewekeMtarudia sana nyuzi,huu mkote hauhitaji papara mlizonazo,upo kiustadi zaidi
Mtarudia sana nyuzi,huu mkote hauhitaji papara mlizonazo,upo kiustadi zaidi
Mtarudia sana nyuzi,huu mkote hauhitaji papara mlizonazo,upo kiustadi zaidi
Tatizo ndungai haelewi katiba
Hata hao wanaofafanua ni kama wanampa ahueni tu spika, ni hivi, bunge ni dhaifu fullstop.
Ndugai anaelewa katiba, ila huu ni mpango maalum.Tatizo ndungai haelewi katiba
Kwa Makonda ilishindikana ,hamo ihaha mguduja
Haijashindikana,wakati unakuja.Kwa Makonda ilishindikana ,hamo ihaha mguduja
Utajua udhaidu wake kamili muda si mrefu na ndio tutahitimisha haya mabishano
Huo ni mtizamo wako,nauheshimu,Hana ubavu wa kumfanya lolote kisheria wala kihoja, labda itumike ile mbinu ya kishamba ya Tundu Lissu. Na mbinu zozote za mabavu hazitaondoa huo udhaifu uliopo.
Kinachonifuraisha nikuwa prof. yeye katulia tulii na dua zake huku watu wako wanaangaika, mara uende kwa rais uombe msamaha oooh! mara report tunaipokea ila yeye hatumtaki ya nin kuangaika !si waseme tu kuwa cag unaminya upigaji.Mtarudia sana nyuzi,huu mkote hauhitaji papara mlizonazo,upo kiustadi zaidi
Kiukweli napongeza kazi nzuri ya cag,tatizo linalonikera ni nyuzi zenye maudhui yanayofanana ila zinabadilishiwa heading, ni ufala huo,watu walewale wenye Id zisizopungua tano,wanamdanganya nani?Kinachonifuraisha nikuwa prof. yeye katulia tulii na dua zake huku watu wako wanaangaika, mara uende kwa rais uombe msamaha oooh! mara report tunaipokea ila yeye hatumtaki ya nin kuangaika !si waseme tu kuwa cag unaminya upigaji.
Nakumbuka prof Assad alisema bunge lina udhaifu hasa katika kuisimamia serikali kwa sababu alitoa mapendekezo na hayakufanyiwa kazi lakini hakuna sehemu aliposema bunge ni dhaifu zaidi ya udhaifu wa bunge.
Sasa Ndugai anaposema bunge dhaifu kalitoa wapi?