johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Kama nakumbuka vizuri CAG mstaafu alidai kuwa bunge ni dhaifu......hakusema Spika ni dhaifu hapana alisema " bunge ni dhaifu"
Wakati bunge linafikia ukingoni ndio nakubaliana na kauli ya Prof Assad kwamba bunge lina hili linalomaliza muda wake lina mapungufu makubwa sana.
October sitajihangaisha kumpigia kura mbunge yoyote nitachagua Rais na diwani fullstop.
Maendeleo hayana vyama!
Wakati bunge linafikia ukingoni ndio nakubaliana na kauli ya Prof Assad kwamba bunge lina hili linalomaliza muda wake lina mapungufu makubwa sana.
October sitajihangaisha kumpigia kura mbunge yoyote nitachagua Rais na diwani fullstop.
Maendeleo hayana vyama!