mind ur business
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 416
- 419
Zamani tuliwasikia wazee wetu wakilikataza jambo hili na mambo mengine wenyewe walikuwa wanasema (MWIKO).
Katazo hili la watu kushika mtoto baada ya kutoka kujamiana halikuwa bure lilikuwa na maana kubwa kwenye maisha ya kiroho. Si unakumbuka nilikwambiaga kuwa binadamu ni roho na mwili.
Mambo yote yanayotokea kwenye mwili wako kwanza huratibiwa kwenye roho ndio yakatokea mwilini. Sasa hapa nataka nizungumzie athari za kiroho anazopata mtoto akishikwa na mtu mwenye janaba au mtu ambae hajaoga baada ya tendo.
Tendo la ndoa ili litokee kwanza utangulizwa hisia ambazo huzalisha nguvu inayoleta hamu kwenye viungo, kiasi cha kuamsha viungo ambavyo huwa haviamki kwa kawaida. Lakini pia kusababisha viungo hivyo baadhi kutoa paka ute kwa ukali tu hisia.
Tusikilizane hapa sasa hizo hisia si kitu chenye kuonekana bali ni nguvu tu ambayo hata wewe mwenyewe nikikuuliza inatokea wapi hujui utanijibu mie husikiaga utamu tu hata sijui zinatokea wapi hisia.
Sasa hizo hisia zako nadhani huwa unaona ukali wake kiasi unatamka paka mizimwi ya kwenu ukiwa tendoni. Hizo hisia zako na za huyo unaekutana nae zikikutana zinazalisha nguvu kali zaidi ambayo hiyo nguvu hupozwa kwa maji ndio maana baada ya tendo ukaambiwa uoge.
Sasa kabla ya kuoga ukimshika mtoto hizo nguvu za hisia zenu zinakwenda kumuathiri mtoto na kumfanya mtoto awe dhaifu na hata afya yake kuzoroteka. Pia humdumaza mtoto na kumfanya ashtuke sana mara kwa mara. Fahamu hilo kwa leo kama utaki basi ila ukweli nimekueleza.
Katazo hili la watu kushika mtoto baada ya kutoka kujamiana halikuwa bure lilikuwa na maana kubwa kwenye maisha ya kiroho. Si unakumbuka nilikwambiaga kuwa binadamu ni roho na mwili.
Mambo yote yanayotokea kwenye mwili wako kwanza huratibiwa kwenye roho ndio yakatokea mwilini. Sasa hapa nataka nizungumzie athari za kiroho anazopata mtoto akishikwa na mtu mwenye janaba au mtu ambae hajaoga baada ya tendo.
Tendo la ndoa ili litokee kwanza utangulizwa hisia ambazo huzalisha nguvu inayoleta hamu kwenye viungo, kiasi cha kuamsha viungo ambavyo huwa haviamki kwa kawaida. Lakini pia kusababisha viungo hivyo baadhi kutoa paka ute kwa ukali tu hisia.
Tusikilizane hapa sasa hizo hisia si kitu chenye kuonekana bali ni nguvu tu ambayo hata wewe mwenyewe nikikuuliza inatokea wapi hujui utanijibu mie husikiaga utamu tu hata sijui zinatokea wapi hisia.
Sasa hizo hisia zako nadhani huwa unaona ukali wake kiasi unatamka paka mizimwi ya kwenu ukiwa tendoni. Hizo hisia zako na za huyo unaekutana nae zikikutana zinazalisha nguvu kali zaidi ambayo hiyo nguvu hupozwa kwa maji ndio maana baada ya tendo ukaambiwa uoge.
Sasa kabla ya kuoga ukimshika mtoto hizo nguvu za hisia zenu zinakwenda kumuathiri mtoto na kumfanya mtoto awe dhaifu na hata afya yake kuzoroteka. Pia humdumaza mtoto na kumfanya ashtuke sana mara kwa mara. Fahamu hilo kwa leo kama utaki basi ila ukweli nimekueleza.