Kwanini ndege hazitui Uwanja wa Ndege Musoma?

Kwanini ndege hazitui Uwanja wa Ndege Musoma?

Nyakitagara

Member
Joined
Feb 7, 2019
Posts
57
Reaction score
91
Mji wa Musoma ndio njia rahisi ya kufika mbunga ya Serengeti. Sasa sijui nani mwenye mamlaka ya kufanya kazi ili hiki kiwanja cha ndege kifanye kazi katika hali nzuri. Itasaidia kuvutia uwekezaji na kurahisha usafiri wa kwenda Musoma kwa Ndege

Ukitaka kufika Musoma inakubidi upande ndege mpaka Mwanza ndiyo usafiri tena na basi kufika Musoma.

Hapo mwanzo ndege zilifikia sasa sijui tatizo ni nini?

Tusaidiane tuweze kujenga Uchumi wa Nchi hii.
 
kuna viwanja hifadhini, na ktk vitalu baadhi...

kwa mfano kuna trip nyingi sana za dar-kia-arusha-tarangire-manyara-karatu-soronera mpaka ngorongoro dc...

ni pesa yako tu, kama ilivyo kuna trip za moja kwa moja
dar-mafia
dar-pemba
dar-unguja
dar-nyerereNP
etc
 
Mji wa Musoma ndio njia rahisi ya kufika mbunga ya serengeti.Sasa sijui nani mwenye mamlaka ya kufanya kazi ili hiki kiwanja cha ndege kifanye kazi katika hali nzuri. Itasaidia kuvutia uwekezaji na kurahisha usafiri wa kwenda Musoma kwa Ndege

Ukitaka kufika Musoma inakubidi upande ndege mpaka Mwanza ndiyo usafiri tena na basi kufika Musoma.

Hapo mwanzo ndege zilifikia sasa sijui tatizo ni nini?

Tusaidiane tuweze kujenga Uchumi wa Nchi hii.
wewe Nyasato unajua hali ya huo uwanja au unajiongelesha tu baada ya kushiba sato
 
Nyasatu oooh sorry Nyakitagara unaloliongea tulishaliandika humu kwa bahati mbaya uwa ni mijadara yetu raia wa JF tu and not more.

Katika kuongeza ufanisi wa viwanja vyetu vya ndege vilivyo karibu au kwenye mikoa ambapo kuna mbuga na jambo kubwa na muhimu linalolazimu kutua ndege km za kitalii nk.

Ilipaswa viwanja hivyo kupewa kipaumbele kwa serikali kuweka uzito vitumike hivyo ili kuinua uchumi wa eneo hilo na siyo kama wanavyofanya sasa kujenga maviwanja huko huko mbugani.

Musoma airport ni moja ya kiwanja ambacho Air Tanzania wakati huo 198x ilikuwa ikitua mara mbili kwa wiki na hata kuna ndege kutoka Nairobi ilikuwa ikitua hapo.

Bahati mbaya viongozi wetu kila mtu akiwa madarakani hawawezi na hawana uwezo kufanya haya sababu wapo pale wao ila kuna maelekezo kutoka kwingine ndiyo wanafanyia kazi.

Laiti nchi yetu ingekuwa inaongozwa na viongozi wazaww basi maamuzi stahiki yangekuwa yalifanyika.

✍🏾Bado nipo na ninaendelea kujifunza tabia na mienendo ya mwanadamu.
 
Nyasatu oooh sorry Nyakitagara unaloliongea tulishaliandika humu kwa bahati mbaya uwa ni mijadara yetu raia wa JF tu and not more.

Katika kuongeza ufanisi wa viwanja vyetu vya ndege vilivyo karibu au kwenye mikoa ambapo kuna mbuga na jambo kubwa na muhimu linalolazimu kutua ndege km za kitalii nk.

Ilipaswa viwanja hivyo kupewa kipaumbele kwa serikali kuweka uzito vitumike hivyo ili kuinua uchumi wa eneo hilo na siyo kama wanavyofanya sasa kujenga maviwanja huko huko mbugani.

Musoma airport ni moja ya kiwanja ambacho Air Tanzania wakati huo 198x ilikuwa ikitua mara mbili kwa wiki na hata kuna ndege kutoka Nairobi ilikuwa ikitua hapo.

Bahati mbaya viongozi wetu kila mtu akiwa madarakani hawawezi na hawana uwezo kufanya haya sababu wapo pale wao ila kuna maelekezo kutoka kwingine ndiyo wanafanyia kazi.

Laiti nchi yetu ingekuwa inaongozwa na viongozi wazaww basi maamuzi stahiki yangekuwa yalifanyika.

Bado nipo na ninaendelea kujifunza tabia na mienendo ya mwanadamu.
Ukipita airport ya Sumbawanga utacheka upasuke,
badala ya ndege kutua,umekuwa uwanja wa kufugia mbuzi na ng'ombe.
Wahusika wajitafakari.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Nyasatu oooh sorry Nyakitagara unaloliongea tulishaliandika humu kwa bahati mbaya uwa ni mijadara yetu raia wa JF tu and not more.

Katika kuongeza ufanisi wa viwanja vyetu vya ndege vilivyo karibu au kwenye mikoa ambapo kuna mbuga na jambo kubwa na muhimu linalolazimu kutua ndege km za kitalii nk.

Ilipaswa viwanja hivyo kupewa kipaumbele kwa serikali kuweka uzito vitumike hivyo ili kuinua uchumi wa eneo hilo na siyo kama wanavyofanya sasa kujenga maviwanja huko huko mbugani.

Musoma airport ni moja ya kiwanja ambacho Air Tanzania wakati huo 198x ilikuwa ikitua mara mbili kwa wiki na hata kuna ndege kutoka Nairobi ilikuwa ikitua hapo.

Bahati mbaya viongozi wetu kila mtu akiwa madarakani hawawezi na hawana uwezo kufanya haya sababu wapo pale wao ila kuna maelekezo kutoka kwingine ndiyo wanafanyia kazi.

Laiti nchi yetu ingekuwa inaongozwa na viongozi wazaww basi maamuzi stahiki yangekuwa yalifanyika.

✍🏾Bado nipo na ninaendelea kujifunza tabia na mienendo ya mwanadamu.
Musoma hamna abiria labda kama utabeba mapanga shaaa
 
Ukipita airport ya Sumbawanga utacheka upasuke,
badala ya ndege kutua,umekuwa uwanja wa kufugia mbuzi na ng'ombe.
Wahusika wajitafakari.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Ni shiiiiiiiiiiiiida.
Screenshot_20220811-182738.jpg
Screenshot_20220811-182755.jpg
 
Kwani ndege ikitua Chato si inatosha kabisa abiria kuserereka na kutililika na miundombinu bora ya barabara iliyojengwa kiustadi kwa usimamizi makini wa mfugale na magufuli
 
Mji wa Musoma ndio njia rahisi ya kufika mbunga ya Serengeti. Sasa sijui nani mwenye mamlaka ya kufanya kazi ili hiki kiwanja cha ndege kifanye kazi katika hali nzuri. Itasaidia kuvutia uwekezaji na kurahisha usafiri wa kwenda Musoma kwa Ndege

Ukitaka kufika Musoma inakubidi upande ndege mpaka Mwanza ndiyo usafiri tena na basi kufika Musoma.

Hapo mwanzo ndege zilifikia sasa sijui tatizo ni nini?

Tusaidiane tuweze kujenga Uchumi wa Nchi hii.
Ile KLM ikitua pale KIA unazani kwamba imebeba watalii tupu? Mnadanganywa sana na wanasiasa wenu,
 
Back
Top Bottom