Tanzania kuandaa mashindano ya kimataifa bado sana, labda yaandaliwe ila game zote zichezwe Dsm, miundombinu yetu hasa viwanja bado.
Huo mkataba wa Azam Media na Yanga na mingine ya aina hiyo wawekezaji huangalia faida kutoka kwa mashabiki wa hizo timu kubwa, lakini kwa timu ya taifa ni kamari, watanzania hatuna mapenzi sana kwa timu yetu ukilinganisha na vilabu vikubwa viwili.