Kwanini naunga mkono tozo

Baada ya kusoma hapa sasa naweza kuthibitisha bila shaka yoyote kuwa hujui lolote namna mfumo wa kodi ufanyavyo kazi...

Yaani unajadili ishu kwa hisia/dhahania badala ya uhalisi wa kisheria. Na nimegundua hata hujui maana ya "double taxation" na kwamba hilo linapofanywa na mamlaka za kikodi, basi linakuwa ni kosa kisheria...

In case kama ulikuwa hujui, kodi hutozwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge...

Serikali haichukui tu fedha za watu kwa sababu wanafanya kazi na kujipatia fedha. Ikifanyika hivi, huo ni wizi. Hatufanyi kazi ili serikali ije ichukue tu fedha zetu nje ya utaratibu kwa jina la "kodi au tozo". Huo ni wizi..

Hiki ndicho kinachofanyika sasa na hoja zako zote zimejikita katika mantiki hii...

Rudi kwenye sheria na taratibu za kikodi. Kisha njoo tena tujadiliane...
 


Nakushukuru kwa mawazo yako. Kazi iendelee
 
Ni Mwigulu si mwingine kamanda! Huyu mzandiki tunaumia halafu anatuandikia ulimbukeni wa Texas!.
 
Wewe ni laana kwa tumbo lililokubeba miezi tisa pamoja na hao waliokutuma.
 
Wizi Tena wa dhahiri.
 
huyo ni mpuuzi fulani.hakuna anayekataa tozo kinacholalamikiwa tozo ni kubwa na zinakatwa kiholela.mshahara unatozwa kodi kwa nn ukienda benki kuchukua mshahara wako utozwe tena?we jamaa umeandika mengi lkn ni utumbo mtupu.wananchi tukusanye nguvu 2025 kuiondoa ccm madarakani.hakuna mwenye huruma ndani ya ccm.wabunge wote wafyekelewe mbali hawana msaada kwa wanyonge.wanaharakati hakikishe mnaenda vijijini kuwaelimisha wananchi madhara tutakayoyapata endapo tukikirudisha hiki chama madarakani.
 
Waartabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…