Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,697
- 40,964
Nyerere hakuwahi chemka mzee.Si ndio kuchemka kwenyewe sasa huko.
Kile kichwa sio cha kawaida.
Nyerere hakuwahi chemka mzee.Si ndio kuchemka kwenyewe sasa huko.
Hahaha umelewa Propaganda.Nyerere hakuwahi chemka mzee.
Kile kichwa sio cha kawaida.
Amekiri na kukanusha hapo hapo, Mwalimu alifanya mazuri lakini pia alikosea na ndio maana anacho kitabu "Tujisahihishe"Hahaha umelewa Propaganda.
Sio kama simpendi Mwalimu nampenda sana Baba wa Taifa ila mimi hupenda kusema ukweli.Amekiri na kukanusha hapo hapo, Mwalimu alifanya mazuri lakini pia alikosea na ndio maana anacho kitabu "Tujishihishe"
Mrema alikamata mpaka almasi za mzee airportBilashaka alikuja kuendekeza uchaga yaani upendeleo wa kikabila ndio maana mzee rukhusa alikuja kujutia kumpa nafasi labda
Kwani mzee rukhusa alitoa sababu zipi mkuu?