View attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
Wewe umeona ndoa mbili, tatu ndio ufanye conclusion?
Ukweli ni kwamba mwanamke akifikisha 30 anakuwa kama ashazeeka, na ndio maana yule Mwanasaikolojia anasema hana jipya hiyo ni kweli.