Kwanini MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar Husivunjwe?

Kwanini MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar Husivunjwe?

B M F ICONIC

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
966
Reaction score
1,869
Hivi karibuni kumekuwa na hoja kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu muungano , wakisema uvunjwe. mimi kwa maoni yangu nitawapinga. waje waseme ni kipengele gani kwenye muungano wanchoona hakifai kibadilishwe.

Wengi wamekua wakilalamikia

1 Hawataki mtu kutoka zanzibar aruhusiwe au awe Rais au angombee nafasi ya uongozi Tanganyika

2 Ni kwanini Mazanzibari ana ruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika. Na mTanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi zanzibar

Kama hivi ni mojawapo ya vipengele vinavyo leta shida vitatuliwe.
Kama mimi ningekua kiongozi na mwenye maono ya miaka 1000 mbele hio lalamiko la kwanza ningeweka zuio la kutoruhusu mtu kutoka kwenye katika nchi hzo mbili kwenda kuwa kiongozi katika nchi nyingine. MTanganyika aongoze Tanganyika na Mzanzibar aongoze zanzibar

2 lalamiko la 2 . Karume alikuw anatoa kisingizio chs ardhi ya zanzibar ni ndogo hvyo wakiruhus wa Tanganyika waishi na kupata maeneo zanzibar itatokea siku moja kisiwa kita didimia kwani ni kidogo ( clip zpo katafute) Apa mimi ningeruhusu matanganyika aweze kuishi zanzibar na kumiliki ardhi na mzanzibar hvyohvyo ili baada ya miaka 100 mbele zanzibar ibadilike wawepo watu wa makabila mbalimbali kule wasukum, wakurya, wa masai ili kuchuja hii mizizi ya ubaguzi wa kidini ulio huko kwa vizazi vijavyo ILI vizazi vinavyokuja kuzaliwa uko zanzibar visiweze kujitofautisha kua uyu ni mtanganyika na yule ni mzanzibar bali vtote vijitambue kama watanzania

View: https://vm.tiktok.com/ZMAvUb2y4/

UHALISIA
Nchi ya Tanganyika ni kubwa kwa eneo ukilinganisha na zanzibar hvyo kufanya hata nchi hizi 2 zikiungana ni lazima mmoja atanufaika zaidi kuliko mwingine na hivyo kuleta taswira kuwa hamna uwiano wowote wa 50 kwa 50 ysan nusu kwa nusu.

Kutokana na jiorafia za nchi hizi 2 zinategemeana kwani zipo pua na mdomo

Kwa MTanganyika yeyote mwenye uelewa, akili na mwenye uwezo wa kuona miaka 1000 mbele hawezi kusema Muungano uvunjwe.

mTanganyika kwanza wewe ndo unatakiwa kuulilia muungano na kuishika zanzibar Isiende zake. Kwa kutumia mbinu hizi

MFano zanzibar ina Rais wake na viongozi wake .
1 Ni kui hold responsible na accountable kua kila maamuzi makubwa wanayotaka kufanya katika nchi hio lazima waiuhusishe nci ya Tanganyika kwani huend a yakatulete effect huku Tanganyika

2 kuifanya nchi io iwe answerable kwa Tanganyika kwa wao wakiwa na viongozi wao bdo wasiwe na mandatory ya kufanya decision kubwa zitakazo leta inpact pasipo kuishirikisha zanzibar

Ni kung'ang'ania kisiwa icho kama china inavyofanya kwa Taiwan

Mfano tuseme Zanzibar inajitegemea na inaviongozi wake na Tanganyika vivyohivyo.
Siku zanzibar ikaamua kujenga bandari kubwa kwa kuongeza ene lake baharini eaidha kwa kujaza vifusi au njia yeyote ile ili jambo lita affect san Tanganyika kwani kijiografia nchi hzi mbili z zimekarbia na sana na maamuzi aya makubwa ni impact kwa mwingine ndo maana nasema kutokumpa Rais wa zanzibar power au mandatory kubwa kiasi icho na ku mu hold accountable kwa kila maamuzi atakayo fanya lazima Tanganyika ihusishwe na ipitishe maamuzi ayo.

Uenda leo ukaona hawawezi kujaza vifusi baharini na kuongez eneo lao lskini miaka 100 mbele linawez kua jambo dogo sana. Tusiwaachie lazima kuwa hold

Athari zinazoweza kutokea endapo Muungano ukivunjwa na nchi hizi kujitegemea ( kwa maono ya miaka 100 mbele)

1 Udini

Nchi ya zanzibar asilimia 98% ni waislamu ni 2% ni wakristo na madhehebu mengine. ukiangalia wengi wao wana mentarity za udini vichwani

Kuna clip moja ya kitambo kidogo nimekutan nayo jamaa mmoja wa zanzibar anasema " sahivi viongozi wote ni waislamu Nyimwi wa Zanzibar muisla SAa100 nae Muislam ma naibu wao pia dini moja ni kwa Tusishike nchi na kuiamuru iwe ys kiislam na ifate sharia za kiislamu" jambo ili unawez kuliona ni dogo au jamaa alikua anatania lakini ingekua mimi kiongozi ningelichukua na kuangalia mbeleni zaidi.
Tuseme basi zanzibar imejitegemea na ikasnzisha au kupitisha sheria zao kama nchi ya kidini na inayoongozwa na matakwa ya kidini hii italeta effect kwa Tanganyika kwani hatuwezi kujua wala kutabiri huko mbele ni kiongozi gsni stakujs madarakani kwani wanaweza kuanzuisha makundi yao ya JiHad na Al qaid na ikawa hatari kwa Tanganyika kwani ni Kilomita 40 ndo zilizotutenga
(Video hii nimeitafut sana niwawekee ila sijafanikiws kuipata kws atakae kuo amekutana nayo ai upload)

2 Sababu za kiusalama
Kama mnavyojua sahivi kuna mtanange kati ya BRICS na marekani ambapo Brics inajitahidi kutafuta influence africa na kuunga nchi za kiafrika kwenye umoja uwo na kuifanya Dollar hisiwe reserve currency yaani kukataza matumizi ya dollar kama ndo kipimio cha uchumi.
Na hpo Tuseme Tanganyika na zanzibar zinajitegemea na ikatokea Tanganyika ikajiunga BRIcS na Zanzibar ikajiunga na marekani ( ni utabiri tu kwani hatuwezi kujua yanayokuja lakini maamuzi yetu ya sasa yawe na upeo wa kuona mika angalau 100 mbeleni) turudi..

kama mnavyojua Marekani uwa anatabia ya kujenga Military Base katika nchi anazoungana nazo ma zenye maelewano mazuri ya kidiplomasia . Ikatokea wamejenga military base/ kambi ya kijeshi zanzibar na ikumbukwe marekani ina millitary base kenya basi kuimaliza Tanganyika ni sekunde tuu. Tuangalie possibility ya vita uko melleni miaka 1000 baadae
Ikumbukwe zanzibar kijiografia imekaa ki strategic military position

3 Bahari ya Hindi.
Kma mnavyojua Tanganyika inategemewa na nchi kama Congo, rwanda, burundi , uganda na nyingine kwenye kusafirisha miziho yao inayotoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es salaam.

Nchi ya Uganda imekua ikipata shida na kuingia kwenye hasars kutokana na mambo yanayoendelea katatika nchi hizi zilizo pakana na bahati ya hindi yaani kenya na Tanzanis. Yakitokea maandamano na lock down kenya na Tanzania ni hasara kwa hizi landlocked countries ambazo hazijapakana na bahari.

Unaweza kuchukulia itani au miemuko ya kitendo chs Museveni cha kusema kua ana haki ya umiliki wa bahari ya hindi kwani kama wote tunaishi kwenye ghorofa mwingine anaishi vyumba vya juu vya ghorofa na mwinvine chumba cha chini (ground floor) huwezi kumkataza yule anae ishi juu kua hana mamlaka ya mazingira ya chini ya ghorofa hvohivyo huwezi kumkataza anaeishi chini kua hana mamlaka na sehemu ya juu.

Kauli hio ya Museveni kwangu nimeichukulia sio utani na nikawaza kwa kizazi cha sasa hvi ambacho kinanyimwa haki zao njia pekee ya kudai haki hio ni kwa maandamano hali ambayo huenda ikaleteleza na kuchochea uwepo wa kutokua na maelewano na mtafaruku na hivyo vita kwa hizi landlocked countries kwa nchi zinazo pakana na bahari Au akatokea raisi ambae kapinda Akili akaanzisha vita ya kudai bahari akiungana na nchi nyingine ambazo hazijapakana na badndari.
Screenshot_20251115-143941_X.jpg


Hapo sasa tuseme zsnzibar na Tanganyika zimetengana na Kiongozi wa zanzibar awe ambae hajali chchote kuhusu Tanzania anaweza kuhusika na njama yoyote kuiangamiza Tanganyika au kwa kuwapa sehemu ya bahari awa landlocked country ukiangalia Tanganyika ina nufaika sana na biashara ya bandari na usafirishaji

#kaangalie muungano wa china na Taiwan unaweza kufananishwa kama wetu. Unaweza kuona china inalazimisha lakini manufaa ni makubwa

Muungano huu ni sawa na Nchi ya China na kisiwa cha Tiwan ni shughuli zakihistoria, kiusalama, kiuchumi na biahsara, siasa na utambulisho wa nchi zinazo ziweka nchi hizi kuungana
Tamati
Ni lazima mzanzibari ajihisi entittled to Tanganyika na ardhi yake na lazuma mTanganyika ajihisi entittlrd to zanzibar na ardhi yake , kwa kutegemeana kwani ni kilomita 40 ndo zimetutenganisha ni kama pua na mdomo

Ishu ya kua na Raisi mmoja sidhani ka wa zanzibari watakubali hivyo hapana Bali na suggest tuwe na serikali mbili ambapo haitoruhusiwa mtu kutoka nchi nyingine kumuongoza mwenzie kila mtu aongoz na wa kwake lakini linapokoja swala la kufanya maamuzi makubwa hasa kwa Zanzibar ni lazima iishitikishe Tanganyika na kukubaliana ili Muungano huu uwe symbitic.
Ikishindikana basi iundwe iwe serikali 3 ya Tanganyika ya zsnzibar na muungano.

Ningependa sana hii hoja ya ardhi ya zanzibar ni ndogo hvyo wasiruhusiwe wa Tanganyika miliki na kuishi ife. Wa Tanganyika watuhusiwe kumiliki ardhi na kuishi zanzibar hivyohivyo kwa zanzibar wamiliki Tanganyika ili uko mbeleni miaka 100 mbele tumalize hizi tofauti kwani vizazi vitazaliana na kushindwa kutambua tofauti zao na kuishi pamoja kama WaTanzania

Wanao sema muungano uvunjwe waje watuambie ni kipengele gani cha muungano ambacho wanakiona hakiko sawa kirekebishwe na sio kuuvunja na ukitaka kuuvunja uje na hoja zako na uzingatie Uhalisia wa eneo la nchi hizi mbili na madhata na faids zinazoweza kujitokeza miaka 100 mbeleni baada ya muungano kuvunjwa ( short tem effect , long term effect na immidiate effect)
Na kabla ya kuwaza kuvunja muungano kafatilie historia kidogo ya china na Taiwan unapofanya maamuzi ayo

Kumbukizi

View: https://vm.tiktok.com/ZMAvDtTME/
 
Una sababu nying za kufikirika tu, "kama" nyingi sana.

Na hilo la Jihad liondoe mkuu, unawakosea waislam. Kwamba taifa likiwa la kiislam tu basi ni Jihad??
 
Hivi karibuni kumekuwa na hoja kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu muungano , wakisema uvunjwe. mimi kwa maoni yangu nitawapinga. waje waseme ni kipengele gani kwenye muungano wanchoona hakifai kibadilishwe.

Wengi wamekua wakilalamikia

1 Hawataki mtu kutoka zanzibar aruhusiwe au awe Rais au angombee nafasi ya uongozi Tanganyika

2 Ni kwanini Mazanzibari ana ruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika. Na mTanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi zanzibar

Kama hivi ni mojawapo ya vipengele vinavyo leta shida vitatuliwe.
Kama mimi ningekua kiongozi na mwenye maono ya miaka 1000 mbele hio lalamiko la kwanza ningeweka zuio la kutoruhusu mtu kutoka kwenye katika nchi hzo mbili kwenda kuwa kiongozi katika nchi nyingine. MTanganyika aongoze Tanganyika na Mzanzibar aongoze zanzibar

2 lalamiko la 2 . Karume alikuw anatoa kisingizio chs ardhi ya zanzibar ni ndogo hvyo wakiruhus wa Tanganyika waishi na kupata maeneo zanzibar itatokea siku moja kisiwa kita didimia kwani ni kidogo ( clip zpo katafute) Apa mimi ningeruhusu matanganyika aweze kuishi zanzibar na kumiliki ardhi na mzanzibar hvyohvyo ili baada ya miaka 100 mbele zanzibar ibadilike wawepo watu wa makabila mbalimbali kule wasukum, wakurya, wa masai ili kuchuja hii mizizi ya ubaguzi wa kidini ulio huko kwa vizazi vijavyo ILI vizazi vinavyokuja kuzaliwa uko zanzibar visiweze kujitofautisha kua uyu ni mtanganyika na yule ni mzanzibar bali vtote vijitambue kama watanzania

View: https://vm.tiktok.com/ZMAvUb2y4/

UHALISIA
Nchi ya Tanganyika ni kubwa kwa eneo ukilinganisha na zanzibar hvyo kufanya hata nchi hizi 2 zikiungana ni lazima mmoja atanufaika zaidi kuliko mwingine na hivyo kuleta taswira kuwa hamna uwiano wowote wa 50 kwa 50 ysan nusu kwa nusu.

Kutokana na jiorafia za nchi hizi 2 zinategemeana kwani zipo pua na mdomo

Kwa MTanganyika yeyote mwenye uelewa, akili na mwenye uwezo wa kuona miaka 1000 mbele hawezi kusema Muungano uvunjwe.

mTanganyika kwanza wewe ndo unatakiwa kuulilia muungano na kuishika zanzibar Isiende zake. Kwa kutumia mbinu hizi

MFano zanzibar ina Rais wake na viongozi wake .
1 Ni kui hold responsible na accountable kua kila maamuzi makubwa wanayotaka kufanya katika nchi hio lazima waiuhusishe nci ya Tanganyika kwani huend a yakatulete effect huku Tanganyika

2 kuifanya nchi io iwe answerable kwa Tanganyika kwa wao wakiwa na viongozi wao bdo wasiwe na mandatory ya kufanya decision kubwa zitakazo leta inpact pasipo kuishirikisha zanzibar

Ni kung'ang'ania kisiwa icho kama china inavyofanya kwa Taiwan

Mfano tuseme Zanzibar inajitegemea na inaviongozi wake na Tanganyika vivyohivyo.
Siku zanzibar ikaamua kujenga bandari kubwa kwa kuongeza ene lake baharini eaidha kwa kujaza vifusi au njia yeyote ile ili jambo lita affect san Tanganyika kwani kijiografia nchi hzi mbili z zimekarbia na sana na maamuzi aya makubwa ni impact kwa mwingine ndo maana nasema kutokumpa Rais wa zanzibar power au mandatory kubwa kiasi icho na ku mu hold accountable kwa kila maamuzi atakayo fanya lazima Tanganyika ihusishwe na ipitishe maamuzi ayo.

Uenda leo ukaona hawawezi kujaza vifusi baharini na kuongez eneo lao lskini miaka 100 mbele linawez kua jambo dogo sana. Tusiwaachie lazima kuwa hold

Athari zinazoweza kutokea endapo Muungano ukivunjwa na nchi hizi kujitegemea ( kwa maono ya miaka 100 mbele)

1 Udini

Nchi ya zanzibar asilimia 98% ni waislamu ni 2% ni wakristo na madhehebu mengine. ukiangalia wengi wao wana mentarity za udini vichwani

Kuna clip moja ya kitambo kidogo nimekutan nayo jamaa mmoja wa zanzibar anasema " sahivi viongozi wote ni waislamu Nyimwi wa Zanzibar muisla SAa100 nae Muislam ma naibu wao pia dini moja ni kwa Tusishike nchi na kuiamuru iwe ys kiislam na ifate sharia za kiislamu" jambo ili unawez kuliona ni dogo au jamaa alikua anatania lakini ingekua mimi kiongozi ningelichukua na kuangalia mbeleni zaidi.
Tuseme basi zanzibar imejitegemea na ikasnzisha au kupitisha sheria zao kama nchi ya kidini na inayoongozwa na matakwa ya kidini hii italeta effect kwa Tanganyika kwani hatuwezi kujua wala kutabiri huko mbele ni kiongozi gsni stakujs madarakani kwani wanaweza kuanzuisha makundi yao ya JiHad na Al qaid na ikawa hatari kwa Tanganyika kwani ni Kilomita 40 ndo zilizotutenga
(Video hii nimeitafut sana niwawekee ila sijafanikiws kuipata kws atakae kuo amekutana nayo ai upload)

2 Sababu za kiusalama
Kama mnavyojua sahivi kuna mtanange kati ya BRICS na marekani ambapo Brics inajitahidi kutafuta influence africa na kuunga nchi za kiafrika kwenye umoja uwo na kuifanya Dollar hisiwe reserve currency yaani kukataza matumizi ya dollar kama ndo kipimio cha uchumi.
Na hpo Tuseme Tanganyika na zanzibar zinajitegemea na ikatokea Tanganyika ikajiunga BRIcS na Zanzibar ikajiunga na marekani ( ni utabiri tu kwani hatuwezi kujua yanayokuja lakini maamuzi yetu ya sasa yawe na upeo wa kuona mika angalau 100 mbeleni) turudi..

kama mnavyojua Marekani uwa anatabia ya kujenga Military Base katika nchi anazoungana nazo ma zenye maelewano mazuri ya kidiplomasia . Ikatokea wamejenga military base/ kambi ya kijeshi zanzibar na ikumbukwe marekani ina millitary base kenya basi kuimaliza Tanganyika ni sekunde tuu. Tuangalie possibility ya vita uko melleni miaka 1000 baadae
Ikumbukwe zanzibar kijiografia imekaa ki strategic military position

3 Bahari ya Hindi.
Kma mnavyojua Tanganyika inategemewa na nchi kama Congo, rwanda, burundi , uganda na nyingine kwenye kusafirisha miziho yao inayotoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es salaam.

Nchi ya Uganda imekua ikipata shida na kuingia kwenye hasars kutokana na mambo yanayoendelea katatika nchi hizi zilizo pakana na bahati ya hindi yaani kenya na Tanzanis. Yakitokea maandamano na lock down kenya na Tanzania ni hasara kwa hizi landlocked countries ambazo hazijapakana na bahari.

Unaweza kuchukulia itani au miemuko ya kitendo chs Museveni cha kusema kua ana haki ya umiliki wa bahari ya hindi kwani kama wote tunaishi kwenye ghorofa mwingine anaishi vyumba vya juu vya ghorofa na mwinvine chumba cha chini (ground floor) huwezi kumkataza yule anae ishi juu kua hana mamlaka ya mazingira ya chini ya ghorofa hvohivyo huwezi kumkataza anaeishi chini kua hana mamlaka na sehemu ya juu.

Kauli hio ya Museveni kwangu nimeichukulia sio utani na nikawaza kwa kizazi cha sasa hvi ambacho kinanyimwa haki zao njia pekee ya kudai haki hio ni kwa maandamano hali ambayo huenda ikaleteleza na kuchochea uwepo wa kutokua na maelewano na mtafaruku na hivyo vita kwa hizi landlocked countries kwa nchi zinazo pakana na bahari Au akatokea raisi ambae kapinda Akili akaanzisha vita ya kudai bahari akiungana na nchi nyingine ambazo hazijapakana na badndari. View attachment 3502306

Hapo sasa tuseme zsnzibar na Tanganyika zimetengana na Kiongozi wa zanzibar awe ambae hajali chchote kuhusu Tanzania anaweza kuhusika na njama yoyote kuiangamiza Tanganyika au kwa kuwapa sehemu ya bahari awa landlocked country ukiangalia Tanganyika ina nufaika sana na biashara ya bandari na usafirishaji

#kaangalie muungano wa china na Taiwan unaweza kufananishwa kama wetu. Unaweza kuona china inalazimisha lakini manufaa ni makubwa

Muungano huu ni sawa na Nchi ya China na kisiwa cha Tiwan ni shughuli zakihistoria, kiusalama, kiuchumi na biahsara, siasa na utambulisho wa nchi zinazo ziweka nchi hizi kuungana
Tamati
Ni lazima mzanzibari ajihisi entittled to Tanganyika na ardhi yake na lazuma mTanganyika ajihisi entittlrd to zanzibar na ardhi yake , kwa kutegemeana kwani ni kilomita 40 ndo zimetutenganisha ni kama pua na mdomo

Ishu ya kua na Raisi mmoja sidhani ka wa zanzibari watakubali hivyo hapana Bali na suggest tuwe na serikali mbili ambapo haitoruhusiwa mtu kutoka nchi nyingine kumuongoza mwenzie kila mtu aongoz na wa kwake lakini linapokoja swala la kufanya maamuzi makubwa hasa kwa Zanzibar ni lazima iishitikishe Tanganyika na kukubaliana ili Muungano huu uwe symbitic.
Ikishindikana basi iundwe iwe serikali 3 ya Tanganyika ya zsnzibar na muungano.

Ningependa sana hii hoja ya ardhi ya zanzibar ni ndogo hvyo wasiruhusiwe wa Tanganyika miliki na kuishi ife. Wa Tanganyika watuhusiwe kumiliki ardhi na kuishi zanzibar hivyohivyo kwa zanzibar wamiliki Tanganyika ili uko mbeleni miaka 100 mbele tumalize hizi tofauti kwani vizazi vitazaliana na kushindwa kutambua tofauti zao na kuishi pamoja kama WaTanzania

Wanao sema muungano uvunjwe waje watuambie ni kipengele gani cha muungano ambacho wanakiona hakiko sawa kirekebishwe na sio kuuvunja na ukitaka kuuvunja uje na hoja zako na uzingatie Uhalisia wa eneo la nchi hizi mbili na madhata na faids zinazoweza kujitokeza miaka 100 mbeleni baada ya muungano kuvunjwa ( short tem effect , long term effect na immidiate effect)
Na kabla ya kuwaza kuvunja muungano kafatilie historia kidogo ya china na Taiwan unapofanya maamuzi ayo

Kumbukizi

View: https://vm.tiktok.com/ZMAvDtTME/

Mbona kama baba wetu wa Taifa sababu ya kukataa serikali moja ni kuogopa ataonekana vipi na watu fulani?

Je hiyo ataonekana vipi ingeendelea kwa miaka mia moja mbele kama unavyosisitiza tuangalie mbeleni?

Je athari ya baba wa taifa kuhofia watamuonaje ni kubwa kuliko athari ya kukubali serikali moja?

Je mwalimu nyerere kwa nini hakuogopa na kuhofia ataonekanaje kwa watanganyika ambao aliifuta Nchi yao huku akiibakisha zanzibar?
 
Mbona kama baba wetu wa Taifa sababu ya kukataa serikali moja ni kuogopa ataonekana vipi na watu fulani?

Je hiyo ataonekana vipi ingeendelea kwa miaka mia moja mbele kama unavyosisitiza tuangalie mbeleni?

Je athari ya baba wa taifa kuhofia watamuonaje ni kubwa kuliko athari ya kukubali serikali moja?

Je mwalimu nyerere kwa nini hakuogopa na kuhofia ataonekanaje kwa watanganyika ambao aliifuta Nchi yao huku akiibakisha zanzibar?
Ndo uone maamuzi yake wakati uwo

Wakukubali serikal mbili na kuona serikali moja itaonekana ameimeza zanzibar uenda kwake yalikua maamuzi mazuri lakini uenda alishindwa kuona mbele siku yy na karume waiwa hawapo viongozi watakao kuja wataukubali muungano
 
Mi naona tutengane tu, Watanganyika tubaki na Tanganyika yetu halafu Wazanzibari wabaki na Zanzibar yao
Tutengane kwa amani na hayo yote unayohofia hayatatokea
 
Una sababu nying za kufikirika tu, "kama" nyingi sana.

Na hilo la Jihad liondoe mkuu, unawakosea waislam. Kwamba taifa likiwa la kiislam tu basi ni Jihad??
Kwenye iyo point ya udini, kuna video moja ya ki9ngozi wa dini "anasema zanzi wana nyimwi bara wana saa100 na viongozi wao ni waislam kwanini wasioitishe nchi iongozwe n sharia ya kidini" ningei upload sema nimeikosa

Kama usha kaa na ndugu ztu uwa wana mantarity za kidini sana nazani umeona mfano mdogo hivi juzi kwa ma sheikh waliosapoti mauaji

Kwenye ili hakuna kupinga kwani huwezi kujua kiongozi atakae kuja anatakua wa aina gani, akili gani na mawazo gani. Lolote linawezekana , lazima tuwaze atakama haiwezekani tuweke probability. Isipotokea ni vyema ila ikitokea tumesaidia. Io asilimia 98% ya nchi kuwa dini moja usi i underestimate maamuz wanayowez kufanya binadamu hawatabiriki lazima asilimia 2% nayo ilindwe

Mfano unaona juma lilopita Nigeria wameuliwa wakristo kisa sababu za kidini mpka trump kaingilia kati

Au unaona nchi ya umoja wa falme za kiarabu wameamua ku adjust sheria zao za kidini zilizo kua zikiendesha nchi ili kuangalia pande zte za watu ambao sio watu wa dini yao kwani wanataka nchi yao ikue kiuchumi ila sheria zao za kidini zinawazuia. Juzi wamepitisha sheria ya kujenga kumbi za kamari na kuwapokea watu wa dini zote kuja kuwekeza ncbini mwao
 
Hivi karibuni kumekuwa na hoja kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu muungano , wakisema uvunjwe. mimi kwa maoni yangu nitawapinga. waje waseme ni kipengele gani kwenye muungano wanchoona hakifai kibadilishwe.

Wengi wamekua wakilalamikia

1 Hawataki mtu kutoka zanzibar aruhusiwe au awe Rais au angombee nafasi ya uongozi Tanganyika

2 Ni kwanini Mazanzibari ana ruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika. Na mTanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi zanzibar

Kama hivi ni mojawapo ya vipengele vinavyo leta shida vitatuliwe.
Kama mimi ningekua kiongozi na mwenye maono ya miaka 1000 mbele hio lalamiko la kwanza ningeweka zuio la kutoruhusu mtu kutoka kwenye katika nchi hzo mbili kwenda kuwa kiongozi katika nchi nyingine. MTanganyika aongoze Tanganyika na Mzanzibar aongoze zanzibar

2 lalamiko la 2 . Karume alikuw anatoa kisingizio chs ardhi ya zanzibar ni ndogo hvyo wakiruhus wa Tanganyika waishi na kupata maeneo zanzibar itatokea siku moja kisiwa kita didimia kwani ni kidogo ( clip zpo katafute) Apa mimi ningeruhusu matanganyika aweze kuishi zanzibar na kumiliki ardhi na mzanzibar hvyohvyo ili baada ya miaka 100 mbele zanzibar ibadilike wawepo watu wa makabila mbalimbali kule wasukum, wakurya, wa masai ili kuchuja hii mizizi ya ubaguzi wa kidini ulio huko kwa vizazi vijavyo ILI vizazi vinavyokuja kuzaliwa uko zanzibar visiweze kujitofautisha kua uyu ni mtanganyika na yule ni mzanzibar bali vtote vijitambue kama watanzania

View: https://vm.tiktok.com/ZMAvUb2y4/

UHALISIA
Nchi ya Tanganyika ni kubwa kwa eneo ukilinganisha na zanzibar hvyo kufanya hata nchi hizi 2 zikiungana ni lazima mmoja atanufaika zaidi kuliko mwingine na hivyo kuleta taswira kuwa hamna uwiano wowote wa 50 kwa 50 ysan nusu kwa nusu.

Kutokana na jiorafia za nchi hizi 2 zinategemeana kwani zipo pua na mdomo

Kwa MTanganyika yeyote mwenye uelewa, akili na mwenye uwezo wa kuona miaka 1000 mbele hawezi kusema Muungano uvunjwe.

mTanganyika kwanza wewe ndo unatakiwa kuulilia muungano na kuishika zanzibar Isiende zake. Kwa kutumia mbinu hizi

MFano zanzibar ina Rais wake na viongozi wake .
1 Ni kui hold responsible na accountable kua kila maamuzi makubwa wanayotaka kufanya katika nchi hio lazima waiuhusishe nci ya Tanganyika kwani huend a yakatulete effect huku Tanganyika

2 kuifanya nchi io iwe answerable kwa Tanganyika kwa wao wakiwa na viongozi wao bdo wasiwe na mandatory ya kufanya decision kubwa zitakazo leta inpact pasipo kuishirikisha zanzibar

Ni kung'ang'ania kisiwa icho kama china inavyofanya kwa Taiwan

Mfano tuseme Zanzibar inajitegemea na inaviongozi wake na Tanganyika vivyohivyo.
Siku zanzibar ikaamua kujenga bandari kubwa kwa kuongeza ene lake baharini eaidha kwa kujaza vifusi au njia yeyote ile ili jambo lita affect san Tanganyika kwani kijiografia nchi hzi mbili z zimekarbia na sana na maamuzi aya makubwa ni impact kwa mwingine ndo maana nasema kutokumpa Rais wa zanzibar power au mandatory kubwa kiasi icho na ku mu hold accountable kwa kila maamuzi atakayo fanya lazima Tanganyika ihusishwe na ipitishe maamuzi ayo.

Uenda leo ukaona hawawezi kujaza vifusi baharini na kuongez eneo lao lskini miaka 100 mbele linawez kua jambo dogo sana. Tusiwaachie lazima kuwa hold

Athari zinazoweza kutokea endapo Muungano ukivunjwa na nchi hizi kujitegemea ( kwa maono ya miaka 100 mbele)

1 Udini

Nchi ya zanzibar asilimia 98% ni waislamu ni 2% ni wakristo na madhehebu mengine. ukiangalia wengi wao wana mentarity za udini vichwani

Kuna clip moja ya kitambo kidogo nimekutan nayo jamaa mmoja wa zanzibar anasema " sahivi viongozi wote ni waislamu Nyimwi wa Zanzibar muisla SAa100 nae Muislam ma naibu wao pia dini moja ni kwa Tusishike nchi na kuiamuru iwe ys kiislam na ifate sharia za kiislamu" jambo ili unawez kuliona ni dogo au jamaa alikua anatania lakini ingekua mimi kiongozi ningelichukua na kuangalia mbeleni zaidi.
Tuseme basi zanzibar imejitegemea na ikasnzisha au kupitisha sheria zao kama nchi ya kidini na inayoongozwa na matakwa ya kidini hii italeta effect kwa Tanganyika kwani hatuwezi kujua wala kutabiri huko mbele ni kiongozi gsni stakujs madarakani kwani wanaweza kuanzuisha makundi yao ya JiHad na Al qaid na ikawa hatari kwa Tanganyika kwani ni Kilomita 40 ndo zilizotutenga
(Video hii nimeitafut sana niwawekee ila sijafanikiws kuipata kws atakae kuo amekutana nayo ai upload)

2 Sababu za kiusalama
Kama mnavyojua sahivi kuna mtanange kati ya BRICS na marekani ambapo Brics inajitahidi kutafuta influence africa na kuunga nchi za kiafrika kwenye umoja uwo na kuifanya Dollar hisiwe reserve currency yaani kukataza matumizi ya dollar kama ndo kipimio cha uchumi.
Na hpo Tuseme Tanganyika na zanzibar zinajitegemea na ikatokea Tanganyika ikajiunga BRIcS na Zanzibar ikajiunga na marekani ( ni utabiri tu kwani hatuwezi kujua yanayokuja lakini maamuzi yetu ya sasa yawe na upeo wa kuona mika angalau 100 mbeleni) turudi..

kama mnavyojua Marekani uwa anatabia ya kujenga Military Base katika nchi anazoungana nazo ma zenye maelewano mazuri ya kidiplomasia . Ikatokea wamejenga military base/ kambi ya kijeshi zanzibar na ikumbukwe marekani ina millitary base kenya basi kuimaliza Tanganyika ni sekunde tuu. Tuangalie possibility ya vita uko melleni miaka 1000 baadae
Ikumbukwe zanzibar kijiografia imekaa ki strategic military position

3 Bahari ya Hindi.
Kma mnavyojua Tanganyika inategemewa na nchi kama Congo, rwanda, burundi , uganda na nyingine kwenye kusafirisha miziho yao inayotoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es salaam.

Nchi ya Uganda imekua ikipata shida na kuingia kwenye hasars kutokana na mambo yanayoendelea katatika nchi hizi zilizo pakana na bahati ya hindi yaani kenya na Tanzanis. Yakitokea maandamano na lock down kenya na Tanzania ni hasara kwa hizi landlocked countries ambazo hazijapakana na bahari.

Unaweza kuchukulia itani au miemuko ya kitendo chs Museveni cha kusema kua ana haki ya umiliki wa bahari ya hindi kwani kama wote tunaishi kwenye ghorofa mwingine anaishi vyumba vya juu vya ghorofa na mwinvine chumba cha chini (ground floor) huwezi kumkataza yule anae ishi juu kua hana mamlaka ya mazingira ya chini ya ghorofa hvohivyo huwezi kumkataza anaeishi chini kua hana mamlaka na sehemu ya juu.

Kauli hio ya Museveni kwangu nimeichukulia sio utani na nikawaza kwa kizazi cha sasa hvi ambacho kinanyimwa haki zao njia pekee ya kudai haki hio ni kwa maandamano hali ambayo huenda ikaleteleza na kuchochea uwepo wa kutokua na maelewano na mtafaruku na hivyo vita kwa hizi landlocked countries kwa nchi zinazo pakana na bahari Au akatokea raisi ambae kapinda Akili akaanzisha vita ya kudai bahari akiungana na nchi nyingine ambazo hazijapakana na badndari. View attachment 3502306

Hapo sasa tuseme zsnzibar na Tanganyika zimetengana na Kiongozi wa zanzibar awe ambae hajali chchote kuhusu Tanzania anaweza kuhusika na njama yoyote kuiangamiza Tanganyika au kwa kuwapa sehemu ya bahari awa landlocked country ukiangalia Tanganyika ina nufaika sana na biashara ya bandari na usafirishaji

#kaangalie muungano wa china na Taiwan unaweza kufananishwa kama wetu. Unaweza kuona china inalazimisha lakini manufaa ni makubwa

Muungano huu ni sawa na Nchi ya China na kisiwa cha Tiwan ni shughuli zakihistoria, kiusalama, kiuchumi na biahsara, siasa na utambulisho wa nchi zinazo ziweka nchi hizi kuungana
Tamati
Ni lazima mzanzibari ajihisi entittled to Tanganyika na ardhi yake na lazuma mTanganyika ajihisi entittlrd to zanzibar na ardhi yake , kwa kutegemeana kwani ni kilomita 40 ndo zimetutenganisha ni kama pua na mdomo

Ishu ya kua na Raisi mmoja sidhani ka wa zanzibari watakubali hivyo hapana Bali na suggest tuwe na serikali mbili ambapo haitoruhusiwa mtu kutoka nchi nyingine kumuongoza mwenzie kila mtu aongoz na wa kwake lakini linapokoja swala la kufanya maamuzi makubwa hasa kwa Zanzibar ni lazima iishitikishe Tanganyika na kukubaliana ili Muungano huu uwe symbitic.
Ikishindikana basi iundwe iwe serikali 3 ya Tanganyika ya zsnzibar na muungano.

Ningependa sana hii hoja ya ardhi ya zanzibar ni ndogo hvyo wasiruhusiwe wa Tanganyika miliki na kuishi ife. Wa Tanganyika watuhusiwe kumiliki ardhi na kuishi zanzibar hivyohivyo kwa zanzibar wamiliki Tanganyika ili uko mbeleni miaka 100 mbele tumalize hizi tofauti kwani vizazi vitazaliana na kushindwa kutambua tofauti zao na kuishi pamoja kama WaTanzania

Wanao sema muungano uvunjwe waje watuambie ni kipengele gani cha muungano ambacho wanakiona hakiko sawa kirekebishwe na sio kuuvunja na ukitaka kuuvunja uje na hoja zako na uzingatie Uhalisia wa eneo la nchi hizi mbili na madhata ="tiktok:7538581141083655429"]
View: https://vm.tiktok.com/ZMAvDtTME/[/URL]

hapa
 
Kwenye iyo point ya udini, kuna video moja ya ki9ngozi wa dini "anasema zanzi wana nyimwi bara wana saa100 na viongozi wao ni waislam kwanini wasioitishe nchi iongozwe n sharia ya kidini" ningei upload sema nimeikosa

Kama usha kaa na ndugu ztu uwa wana mantarity za kidini sana nazani umeona mfano mdogo hivi juzi kwa ma sheikh waliosapoti mauaji

Kwenye ili hakuna kupinga kwani huwezi kujua kiongozi atakae kuja anatakua wa aina gani, akili gani na mawazo gani. Lolote linawezekana , lazima tuwaze atakama haiwezekani tuweke probability. Isipotokea ni vyema ila ikitokea tumesaidia. Io asilimia 98% ya nchi kuwa dini moja usi i underestimate maamuz wanayowez kufanya binadamu hawatabiriki lazima asilimia 2% nayo ilindwe

Mfano unaona juma lilopita Nigeria wameuliwa wakristo kisa sababu za kidini mpka trump kaingilia kati

Au unaona nchi ya umoja wa falme za kiarabu wameamua ku adjust sheria zao za kidini zilizo kua zikiendesha nchi ili kuangalia pande zte za watu ambao sio watu wa dini yao kwani wanataka nchi yao ikue kiuchumi ila sheria zao za kidini zinawazuia. Juzi wamepitisha sheria ya kujenga kumbi za kamari na kuwapokea watu wa dini zote kuja kuwekeza ncbini mwao
Mkuu kama wakiamua nchi yao iwe ya kiislamu ni wao na nchi yao.

Na hilo tamko ulikokazania kua kuna mtu kalisema, hayo ni mawazo yake. Sio huyo tu waislam wengi wanapenda taifa la namna hiyo.

Zanzibar ikijitenga na wakawa na uislam wao wewe mbara mkristo baki bara waachie nchi yao.

Matishio yalikuwepo zamani, enzi za vita baridi sio sasa.
 
Watanganyika wana mentality za kikoloni sana juu ya Zanzibar
 
Sijaona sababu za msingi zaidi ya fikra za kizamani na maoni binafsi.

Huu muungano ni mufilisi kwa Tanganyika hatuhitaji kuendelea nao na sababu zipo wazi.

1. Tuna compromise usalama wa taifa letu la Tanganyika kwa kuweka watu ambao wamekwisha declare sovereignty ya kidola na kitaifa. Mbona huwa mnastuka kusikia kuna raia wa Rwanda,burundi au kongo wameingia inchini na pengine wanajiingiza katika shughuli za kiserikali,what makes Zanzibarians a special case?🤔

Umeona yaliyotokea October 29,tazama namna tunavyochezewa TISS, JWTZ na polisi mazee mazima ya Tanganyika tunachezewa na wala urojo wa Zanzibar na hawaheshimu ardhi yetu,sheria zetu,watu wetu, utu wetu,na mamlaka zetu. Haya ni madhara na matokeo ya kuruhusu taifa lingine liwe na access ya kimamlaka katka taifa lingine, futilia mbali huu muungano takataka. Na huko serikalini kusiwepo mtu yoyote mwenye asili ya Zanzibar hata kama alizaliwa na kulelewa Tanganyika,fukuza wote. Wakatumikie kifusi chao.

2. Zanzibar wakiamua kuwa taifa la kiislam,la kiyahudi, la kihindu,la kisomali,la kichina, la ki- GenZee, WHO GIVES A ZERO F*CK?😡 Wao ni akina nani hadi mfumo wao wa kuishi utuathiri sisi kama watanganyika?🤔

They can be whoever they feel they should be,as long as hatutakuwa na muingiliano wowote na Tanganyikans affairs we are good as neighbors. Akileta us*nge tutadeal nao perpendicularly. Yaani wewe unaogopa ugaidi karne ya 21? Tutamalizana nao vizuri tu na wakileta hizo habari tutakwenda kutembeza mkong'oto kisiwa chote na tutanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe na kufungua makanisa ya kilokole kila mtaa na kuita Zanzibar mkoa rasmi wa TANGANYIKA na mkuu wa mkoa atapewa Chalamila.

3. Zanzibar ina eneo la kilometers za mraba elfu nne yaani buku nne, au 4,000+ sisi Tanganyika tuna Km za mraba laki tisa na elfu tisini huko, hivi kweli tukae kugombana maswala ya ardhi na watu wanaoishi kwenye kifusi baharini. They can go to hell and f*ck themselves,we don't care.

4. Muungano unatakiwa kuwa beneficial kwa pande zote mbili in a mutual way. Hapa sioni hicho kitu cha zaidi ni unyonyaji. iST huku unauziwa milioni 17 kule haifiki million 10 ila kodi zinatumika kote kote. Price za bidhaa muhimu mfano,umeme,mafuta, vyakula, mavazi na mawasiliano ni 50% less kule. Huu upumbavu nani anataka sasa?

5. Kuhusu bandari, Kenya hao hapo wametuweza wapi eneo la bandari na wana eneo kubwa mara ngapi ya hicho kifusi cha baharini,but wametuweza kwa lolote,sasa si no ufala kuamini kuwa kile kifusi cha wala urojo kina jeuri ya kupambana na ukanda wa bandari kutoka bagamoyo hadi mtwara, hivi wewe umesoma vema geography ukaona eneo la bandari la TANGANYIKA? Yaani unafananisha space ya kirikuu na scania semi ya tani 35?😂😂😂.

Anyways nani anapiga madili na yupo connected na mataifa ya Africa yenye uhitaji wa bandari kama sisi Tanganyika?

Nani kakudanganya kuwa hata Zanzibar akiamua kuwekeza kwa kuongeza kifusi baharini kujenga bandari haya akifanya hivyo anapelekea nani huo mzigo kwa kupitisha njia gani na ardhi ya nani? Hiyo access wanaipataje kwanza wakileta huo ushubwada?

6. Tanganyika kwa sasa ni dormant state. Tunasababu zaidi ya milioni za kuua muungano na kufufua utaifa wetu back na kubadili kila nyaraka na majina yasome na kutambua taifa letu mazafaka. TANGANYIKA LAW SOCIETY, TANGANYIKA REVENUE AUTHORITY, TANGANYIKAN PEOPLE'S DEFENCE FORCE,etc hatuna haja ya kjificha katika kichaka cha utanzania inatusaidia nini? Mbona Zanzibar wanatembea kifua mbele wakijitambua kama wazanzibari why sisi watanganyika tunajistukia kuwa wazalendo katika taifa letu la TANGANYIKA?

Acheni kupenda kujipendekeza na kuendekeza hoja za kipuuzi na za upotoshaji wakati ukweli unaonekana wazi na suluhisho linaeleweka wazi.
 
Back
Top Bottom