Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,450
- 10,800
...babu yangu mzaa mama mzee Msangi, miaka ya 90 alinifunza kuwa Mungu ametuumba ili tumjue, tumpende, tumtumikie na kisha tufike mbinguni. Yes, it is logical ila nawaza sasa!! Ni nini umuhimu wa dini nyingi hivi?
Kabla ya ukoloni, tulikuwa na dini zetu. Hawa wageni waarabu wakatuletea uislam, mara ahmadia, Sunni, Asal sun, wahabia n.k, mara wazungu wakatuletea ukatoliki, Lutheran, Angrican, pentekoste!!! What are these things? Kwa nini Mungu asituumbie dini moja tuu, tuamini humo tuingie mbinguni kwayo?
Ok, fikiria tena, je Wahindi au wachina wangetutawala africa, c tungekuwa wabudha au wahindu huku tunaabudu ng'ombe?
Hizi dini za wageni zimetuondolea ufikiri, sasa wanaishia kutuita 'shitholes' na sie tunachekelea! Ninaumia ninavyowaona wakongo na wasomali wanavyotaabika kisa dini na maslahi ya waliotuletea dini!! Tunaishia kuwa uwanja wa majaribio. Poor leaders like Kabira, Ali Bongo, Djame and the like!!
Dini zimekuwa nyingi mpaka za kihuni huni kama ya Nabii Tito na Bushiri, full mazingaombwe na tunachekelea tu huku tunapeleka sadaka na kununua maji ya upako fake!!
NB: Ukiwa mtu wa hizi dini sana, kuna kakipengele muhimu kwenye ubongo kanafyatuka na kuchomoka! U can't think perfectly and critically again!!
Cc: Dini tumeletewa Afande Sele ft Belle 9!
Kabla ya ukoloni, tulikuwa na dini zetu. Hawa wageni waarabu wakatuletea uislam, mara ahmadia, Sunni, Asal sun, wahabia n.k, mara wazungu wakatuletea ukatoliki, Lutheran, Angrican, pentekoste!!! What are these things? Kwa nini Mungu asituumbie dini moja tuu, tuamini humo tuingie mbinguni kwayo?
Ok, fikiria tena, je Wahindi au wachina wangetutawala africa, c tungekuwa wabudha au wahindu huku tunaabudu ng'ombe?
Hizi dini za wageni zimetuondolea ufikiri, sasa wanaishia kutuita 'shitholes' na sie tunachekelea! Ninaumia ninavyowaona wakongo na wasomali wanavyotaabika kisa dini na maslahi ya waliotuletea dini!! Tunaishia kuwa uwanja wa majaribio. Poor leaders like Kabira, Ali Bongo, Djame and the like!!
Dini zimekuwa nyingi mpaka za kihuni huni kama ya Nabii Tito na Bushiri, full mazingaombwe na tunachekelea tu huku tunapeleka sadaka na kununua maji ya upako fake!!
NB: Ukiwa mtu wa hizi dini sana, kuna kakipengele muhimu kwenye ubongo kanafyatuka na kuchomoka! U can't think perfectly and critically again!!
Cc: Dini tumeletewa Afande Sele ft Belle 9!