Naona umeniandikia siasa mara ccm wakati wala havihusiani na dini.
Hakuna ushahidi kuwa Mtume alikopi kokote kule!!!
Nimekuwa mfano ndio maana mnatakiwa msome falsafa na theolojia ili mpate muda wa kwenda mabaki zaidi kujua kile mlichojifunza madrassa . Madrasa ni kama Nursary School .Ukijifunza hesabu Nursary school halafu unaishia hapo hutakiwa mtu mwingine zaidi ya mpumbavu na mjinga .Utajua kuhesabu mwisho ni Elfu moja na kwa sababu hujaendelea kusoma vitu vingine utaona wewe ndiye mwenye elimu kubwa na hutataka ukoselewe.
Wakatoliki wanasoma historia ya dini zote .
Seminari kiarabu ni somo .
Kwenye theolojia wanasoma mpaka elimu ya nyota mpaka dini za asili na mithology . Wakatoliki na wanajua mambo mengi sana ya dini zote unazoziona duniani lakini hua hawakashifu dini ya mtu au kuweka midahalo ya kidini hata siku moja .Wanajua wakifanya hivyo watasababisha vurugu kwani mtu mwenye PhD kama Kadinali Pengo hawezi kubishana na Mtu wa Nursary inayoitwa Madrassa ambaye amesoma kwa kukariri sio kwa kuingia Library, kusoma ,kufanya utafiti na kufanya mitihani mbalimbali na kisha kuelewa na kuwa na uwezo wa kuhoji na kuona mapungufu na mafanikio ya imani yake katika jamii. Sasa kitabu kimenichanganya sana lakini mtu anaambiwa hakuna shaka katika kitabu hicho wala hakuna mtu anaweza akakikosoa lakini hawajatujibu wasomi wakakikosoa na kuweka kwenye mitaala .
Wakrsto wa Roma wanasoma mpaka wanajenga hoja ya kuwa hakuna Mungu kisha wanajadili .Sasa utawaeweza vipi watiubkama hao wa ashindwe kuandika vijuzuu thelathini vyenye mashairi kama Albam tano za Nyombo za Diamond .
Nimekuambia tafuta Biblia ya kanisa katoliki kisha soma vitabu vya :
Tobiti
Yudithi
1 Wamakabayo
11 Wamakabayo
Hekima ya Suleiman
Hekima ya Yoshua bin sira na
Baruku
Ndani ya hivyo vitabu Utaona jinsi wayahudi walivyokua wanalazimishwa kula nyama ya nguruwe lakini walikua wanakataa na kuuawa.
Utaona jinsi Biblia ilivyokataza kabisa sanamu yoyote ile iliyochongwa au kutengenezwa na mtu yeyote hata kuiinamia .
Cha ajabu wakatoliki hao hao wananamia sanamu ya Maria na ya Yesu jambo ambalo Biblia ya kikatoliki ilekataza sana kuliko hata ile Biblia ya Kiprotestanti iliyozoeleka mitaani ambayo hata waislam nao wanayo majumbani mwao.
Kumaliza kusoma hivyo vitabu ni aya nyingi kuliko Korani nzima lakini ndani ya biblia ni vichache sana maana biblia ina vitabu vingi zaidi ya 70.
Ukimaliza hapo kasome tena vitabu vya hadithi za mtume .
Bila kusoma Thioloji huwezi kujua historia na namna dini zilivyoanishwa utabaki unasifia na kufia dini na kuambia kuwa ukikojolea korani itakua kichaa au utakufa halafu unakutana na mtoto aliyefundishwa na kuelewa kuwa vile ni vitabu kama vitabu vingine vilivyochapishwa kwenye viwanda basi ataikojolea bila kupata athari yoyote .
Kumbe ungemfundisha tu kuwe ni vibaya kukojolea kitabu chochote hata cha hesabu na kiswahili kwani vinatumika kutoa elimu ambayo ni muhimu kwa maisha ya mtu.
Hivi waarabu Korani itakuaje na elimu kubwa kuliko Biblia wakati Biblia ina elimu waisrael waliyoipata kwa Wamisri ,Wababiloni huko Mesopotamia ya kale ,Wagiriki au ,Wayunani na Warumi amani wote waliishi nao na kujifunza mila zao ,dini zao na elimu yao.
Mungu aliwapeleka huko kote kwa makusudi na mwisho kabisa akawatawanya dunia nzima na sasa wameshikilia uchumi na teknolojia ya dunia halafu mtu anasema wamelaaniwa .🤣🤣🤣🤣🤣
Soma Biblia Mkuu huko ndiko ulikoambiwa unapokosa jibu kwenye Korani basi kasome vitabu vya waliowatangulia kabla yenu utapata elimu kubwa .
Mohamad Elimu aliyopata ni ya kukariri huko Misri na kupata elimu kidogo sana tofauti na Musa . Musa alikulia Ikulu kwa Mfalme akasomeshwa kama mtoto wa mfalme akajua imani zao na siri zake kisha akarejea kwenye dini ya baba zake baada ya kugundua yeye ni Muebrania na kuwa Imani ya baba zake ndiyo sahihi .