kwanini mtoto akizaliwa mwezi wa saba anapona?

Ninliy

Senior Member
Jan 8, 2012
132
12
nauliza swali jamani kwanini mtoto akizaliwa akiwa na miezi saba anapona lakini akizaliwa mwezi wa nane anafariki?naomba kujibiwa kisayansi zaidi.
 
niliwahi kusikia kuwa mtoto anapokuwa tumboni hu-alternate mfumo wa chakula,mwezi mmoja anakuwa anatumia chakula cha mama yake na unaofuata anatumia alicho jihifadhia!that is why mwezi wa saba atasavaivu na wa nane atakufa!mwezi wa saba anakuwa hamtegemei mama yake ili hali mwezi wa 8 anamtegemea mama yake na wakati huo akijitunzia chakula cha kutokea mwezi wa tisa!!!du maaelezo marefu sijui kama umenielewa!!!sijawahi kuwa mwalimu eti!!!
 
Swalilako zuri, lakini kuna thread kule kwa celebrity umemtukana mwanamuziki Mkongwe Bi Kidude SANA!
Kama ni mtu makini ukaedit ile thread, maana imekupa image mbaya sana kwa jamii ya JF!...binfsi umeniudhi kabisa!
 
Swalilako zuri, lakini kuna thread kule kwa celebrity umemtukana mwanamuziki Mkongwe Bi Kidude SANA!
Kama ni mtu makini ukaedit ile thread, maana imekupa image mbaya sana kwa jamii ya JF!...binfsi umeniudhi kabisa!


Mkuu una hasira nae vby ! Umemfuata hadi huku ?! Mwenzio alikuja kujificha ati !!...lol.
 
Back
Top Bottom